Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Mkuu,
Kabla sijatoa ushauri wangu kwako kwanza nianze kwa kukupongeza kwa WAZO ulilolipata.

Lakini pia kwa maswali ulioainisha hapo juu, kwa mtu aliyemakini tayari una majibu kwa maswali yote maana umesema tayari una jamaa zako wa karibu wanaofanya biashara hiyo na tayari wameonyesha nia ya kukubeba yaani wapo tayari kukuonyesha njia. Nitashangaa sana kwa mtu ambaye tayari anafanya biashara hiyo then hawezi kukupa majibu ya maswali uliyouliza hapo juu.

USHAURI: Mtaji ulonao ni Pesa sawa lakini kwa biashara ya mazao hiyo haitoshi na kwakuwa unayo hiyo tu nikisema nikutajie kiasi ambacho unaweza kuanza nacho na ukajisikia inafanya kazi nitakuwa kama nakukatisha tamaa hivi.

Sasa basi huo mtaji ulonao (1mil) itakulazimu ujiunge na mmoja wa hao jamaa zako ulowataja ili akubebe tu hapa nina maana kwamba mwende naye huko vijijini ambapo yeye anapata mzigo mnunue kwa maana kwamba atajulikana kwa wauzaji kuwa anayenunua ni yeye (mwenyeji wao) kumbe ndani ya mzigo kuna vigunia vyako 4-5, mkija kwenye masoko anapouza huyo jamaa yako mwachie auze yeye na baadaye anakutolea pesa yako, hapo utaona mtaji na faida yako.
Ninakupa wazo hili kutokana na ufinyu wa mtaji wako.

Kwa kufanya hivyo, utakuwa unatunisha mtaji wako, lakini pia utakuwa unapata uzoefu ktk Kazi hiyo.
Baada ya muda mtaji wako utakuwa umeongezeka, lakini pia utakuwa mzoefu ili baadaye uweze kupeperuka kwa mbawa zako.
Ni kweli maswali baadhi majibu yake walishanipa,mpaka sasa hivi ninayewasiliana ni rafiki yangu ambaye anafanya biasha ya mpunga/mchele (mjomba anayeuza ufuta mawasiliano yake yamekuwa hafifu kwa sababu mbalimbali) kesho nimepanga kuonana uso kwa uso na rafiki yangu (wa mpunga),nadhani kesho ndo ntamuuliza kila kitu.nitakaporidhika na uchunguzi wangu nitaanza biashara(kwa msaada wake).by the way shukrani sana mkuu.
 
Mpunga huku Mwanza unajaza siku moja tu

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Mpunga huku Mwanza unajaza siku moja tu

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Ningekuwa na mtaji wa kutosha ningekuja huko jiji lenye miamba mana kuna ndugu na jamaa,ila ngoja nifanye huku DOM nione,huwezi jua one day nikatanua mipaka,thanks by the way.
 
Ongera kwa kuamua kujiajiri mana vijana wengi wakimaliza Chuo wanasubiri kuajiliwa. Ukiwa na bidii unatoka tu.
 
Niko katika utafiti mkuu
Okay, kama utakuwa poa biashara iko poa sana tena sana hususan kama utakuwa na uwezo wa kufuata au agiza mzigo mkubwa toka Shinyanga, Mbeya au Morogoro au Dodoma. Pia kama uko vizuri zaidi unaweza chukulia hapa mjini (Dar) na kuuza popote unapoona inafaa hata nje ya nchi kama kibali kinaruhusu.

Biashara hii iko poa huwezi jutia japokuwa mwaka huu kidogo kodi zinasumbua kwa mfano Shinyanga vijijini kodi imekuwa kubwa sana (imepanda toka 500 hadi 2000) ndani ya wiki hii halimashauri ilipochukua jukumu la kukusanya kodi yenyewe badala ya mudhabuni kitu ambacho kitapandisha bei ya mchele maradufu na kama itapanda zaidi itapunguza faida kwa mfanyabiashara ya mchele hususani yule mwenye kununua na kuuza mchele badala ya mpunga toka kwa mzalishaji.
 
Okay, kama utakuwa poa biashara iko poa sana tena sana hususan kama utakuwa na uwezo wa kufuata au agiza mzigo mkubwa toka Shinyanga, Mbeya au Morogoro au Dodoma. Pia kama uko vizuri zaidi unaweza chukulia hapa mjini (Dar) na kuuza popote unapoona inafaa hata nje ya nchi kama kibali kinaruhusu.

Biashara hii iko poa huwezi jutia japokuwa mwaka huu kidogo kodi zinasumbua kwa mfano Shinyanga vijijini kodi imekuwa kubwa sana (imepanda toka 500 hadi 2000) ndani ya wiki hii halimashauri ilipochukua jukumu la kukusanya kodi yenyewe badala ya mudhabuni kitu ambacho kitapandisha bei ya mchele maradufu na kama itapanda zaidi itapunguza faida kwa mfanyabiashara ya mchele hususani yule mwenye kununua na kuuza mchele badala ya mpunga toka kwa mzalishaji.

Mkuu izi data unazo nipa mm Ni muimu Sana .. Na nime jifunza vitu muimu
 
Mkuu izi data unazo nipa mm Ni muimu Sana .. Na nime jifunza vitu muimu

Mkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.

Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.

Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000/- na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.
 
Mkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.

Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.

Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000 na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.

Kaka naku chek in box. Ayo Madini unayo mwaga ni Adimu Sana
 
Nina dada yangu alifeli form 2 mara mbili akaamua kuacha shule akawa anashinda maporini kununulia watu mipunga anapata faida kidogo sasa may nilienda likizo home yaani huyo dadaangu anahela za kumtosha na kashajenga nyumba mm msomi na degree yangu na cpa ila hela alizonazo huyo dadaangu smtyms naona kuajiliwa sio kabisa.
 
Nina dada yangu alifeli form 2 mara mbili akaamua kuacha shule akawa anashinda maporini kununulia watu mipunga anapata faida kidogo sasa may nilienda likizo home yaani huyo dadaangu anahela za kumtosha na kashajenga nyumba mm msomi na degree yangu na cpa ila hela alizonazo huyo dadaangu smtyms naona kuajiliwa sio kabisa.

Changamoto ziko nyingi cha msingi kujipanga mkuu
 
Wakuu habari za leo. Nauliza kuna mtu yoyote anayefahamu kuhusu biashara ya mpunga Morogoro bei ya shamba, mjini na faida unayoweza kupata mtaji wa kuanzia. Kwa ujumla kama mtu anarough draft ya biashara ya mpunga Morogoro naomba anisaidie.
 
Nina dada yangu alifeli form 2 mara mbili akaamua kuacha shule akawa anashinda maporini kununulia watu mipunga anapata faida kidogo sasa may nilienda likizo home yaani huyo dadaangu anahela za kumtosha na kashajenga nyumba mm msomi na degree yangu na cpa ila hela alizonazo huyo dadaangu smtyms naona kuajiliwa sio kabisa.

Naomba namba yake mkuu
 
Biashara ya mchele ipo hivi ndg yangu kwa sisi tuliopo huku mikoani esp km hapa mkoa mpya wa Songwe ktk wilaya ya Momba kuna vijiji wao wanalima mpunga kwa sana vijiji km Kamsamba na Chitete mpunga una mbegu zaidi ya mbili tunachokifanya huku km kipindi hiki cha mavuno tunaenda vijijin tunanunua mpunga kwa wakulima kwa debe elfu3 mpk4 kwa gunia linaingia debe10 tunakuja kuuifadhi tukija kuukoboa tunauza debe1 kuanzia elfu25mpk30 hatuleti mjini bali nyie wa mjini mnakuja kununua huku kwetu
 
Wakuu habari za leo. Nauliza kuna mtu yoyote anayefahamu kuhusu biashara ya mpunga Morogoro bei ya shamba, mjini na faida unayoweza kupata mtaji wa kuanzia. Kwa ujumla kama mtu anarough draft ya biashara ya mpunga Morogoro naomba anisaidie.
Unataka kufanya biashara gani? Kulima, kununua, kuuza mchele?
 
Back
Top Bottom