Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Mkuu nitakutembelea unipe maujuzi zaidiBiashara ya mchele ipo hivi ndg yangu kwa sisi tuliopo huku mikoani esp km hapa mkoa mpya wa Songwe ktk wilaya ya Momba kuna vijiji wao wanalima mpunga kwa sana vijiji km Kamsamba na Chitete mpunga una mbegu zaidi ya mbili tunachokifanya huku km kipindi hiki cha mavuno tunaenda vijijin tunanunua mpunga kwa wakulima kwa debe elfu3 mpk4 kwa gunia linaingia debe10 tunakuja kuuifadhi tukija kuukoboa tunauza debe1 kuanzia elfu25mpk30 hatuleti mjini bali nyie wa mjini mnakuja kununua huku kwetu
Biashara ya mchele ipo hivi ndg yangu kwa sisi tuliopo huku mikoani esp km hapa mkoa mpya wa Songwe ktk wilaya ya Momba kuna vijiji wao wanalima mpunga kwa sana vijiji km Kamsamba na Chitete mpunga una mbegu zaidi ya mbili tunachokifanya huku km kipindi hiki cha mavuno tunaenda vijijin tunanunua mpunga kwa wakulima kwa debe elfu3 mpk4 kwa gunia linaingia debe10 tunakuja kuuifadhi tukija kuukoboa tunauza debe1 kuanzia elfu25mpk30 hatuleti mjini bali nyie wa mjini mnakuja kununua huku kwetu
MI nipo Dom nina gunias Mia 250 karibuniMkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.
Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.
Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000/- na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.
Ila jipange maana Kuna changamoto nyingi sanaNahisi kuvutiwa na hii kazi sasa nipe jibu ni msingi wa kiasi gani kwa uzoefu wako naweza kuanzia iyo kazi?
MI nipo Dom Nina guns Mia 250 karibunj
Uko sehem gani, Bahi, Chikopelo au Kibaigwa?MI nipo Dom Nina guns Mia 250 karibunj
Mchele mpya au wa zamani? Bei yako ikoje mkuu?Bahi kiongozi
Mkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.
Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.
Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000 na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.
gunia moja unauzaje?MI nipo Dom Nina guns Mia 250 karibunj
Mkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.
Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.
Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000/- na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.
Kipi bora, kununua mchele ama mpunga? Sababu utajuaje mpunga unaonunua utatoa mchele mzuri unaotaka kwa ajili ya biashara Kipi bora kwa ajili ya biashara, mpunga au mchele?
Kadri ya jinsi nilivyoelewa maswali yako juu:
* Ili kujua mpunga kama ni mzuri huwa tunachukua sample na kuumenya na kisha kutathmini ubora wake-mzuri hutoa punje zilizonyooka na nyeupe wakati mbaya hutoa mpunje zilizovunjikavunjika au katika ama nyekundu badala ya nyeupe.
*Pia ubora wa punje/mchele huweza tegemeana na mashine uliyokobolea na technician anaeseti mashine-kuna mashine zenye wataalam wa kuseti mashine kulingana na mpunga unaokobolewa kwa wakati husika na mchele wote utokao kwenye mashine hizo ni "super" au ulionyooka tu.
-Ubora wa mchele hutathmini faida utakayopiga wakati wa kuuza mchele huo.
*Kwa mtaji mkubwa wa kuweza kununua tani hata 2 za mchele ni vyema ukauza mchele pale bei ya mchele inapokuwa juu zaidi sokoni wakati mashineni ukiuzwa kwa bei ya chini. Kwa mfano kama mashineni unauzwa kwa Tsh.800 kwa kilo na kuuzwa kwa Tsh. 1400 sokoni na wewe ukanunua tani 2 kwa Tsh. 1,600,000/- na kuuza kwa Tsh. 2,800,000/- wakati gharama ya usafiri ni 90,000/- kwa mfano umetoa Shinyanga kuja Dar hapo unakuwa umetengeneza faida ya 700,000/- kwa safari moja.
-Faida itaongezeka kutegemea na safari unazofanya kwa wiki yaani safari moja, mbili au tatu; na hii inaonesha atakaepiga faida zaidi ni yule anaenunua mchele na kusafisha moja kwa moja kuliko anaechukua mpunga na kupanga mstari mashineni ili akoboe ambapo anaweza koboa tani chache tu siku.
*Kuna wakati pia kununua mpunga na kuuhifadhi kwa ajili ya kukoboa na kuuza baadae kunalipa sana, kwa mfano ikiwa leo gunia linauzwa kwa Tsh. 55,000/- na ukanunua na kulihifadhi hadi mwezi wa 12 au kwanza mwakani ambapo bei inaweza kuwa 85,000/- hadi 100,000/- kuna uwezokano wa kupiga faida isoyopungua 25,000/- kwa gunia kama kama utauza mpunga kama mpunga, ukikoboa na kuuza mchele unapiga zaidi ya hiyo (25,000/-)
#*Kwa ujumla ni vyema kipiga zote (mchele na mpunga) kulingana na kile kinachotoa faida zaidi kwa msimu husika, eneo unalofanyia biashara kama vyote vinapatikana kama mpunga haupatikana usione tabu kwenda maeneo ama mkoa wanakolima na nununua kisha hifadhi au koboa-ukiwa mfanyabiashara lazima uzungukie maeneo ya interest yako na utajua mikoa mingi na hata vijiji vingi nchini na umbali kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine hususani ukishakuwa na usafiri wako.
Ukinunua Mpunga basi usa huohuo Mpunga,Kipi bora,kununua mchele ama mpunga?sababu utajuaje mpunga unaonunua utatoa mchele mzuri unaotaka kwa ajili ya biashara..kipi bora kwa ajilimya biashara mpunga au mchele?
Unauza kuanzia kiasi gani?Wakuu mm nina Kg 1900, mchele kutoka Morogoro nauza kila kg 1 kwa Tsh 1350, mzigo upo Tandale-Dsm natafuta wateja.
Mwenye kuhitaji anicheki