Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine

Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine

Mambo kama haya ndo yananifanya mimi mrdash1 niamini kuwa watanzania tumeumbwa na nusu akili. yaani wewe ufikirie biashara nje ya nchi kabla ya biashara ya ndani? Mtoto ambaye bado hajajua kutembea atawezaje kukimbia?

Mimi nakuhakikishia kwa hapa bongo Da slam ndo jiji namba moja lakini mvua ikinyesha mitaa inafurika maji watu wanabebana migongoni, uchafu na takataka kila pahala, watu wachovu, majumba yamechakaa na magari yamechoka, mitaa imejaa watu wamevaa yeboyebo wamebeba biashara za mikononi hivi eti ndo mtu wa jamii kama hii ndo afanye biashara ya kimataifa? Ha ha ha ah mimi mrdash1 acha nijichekee!

Ushauri wangu wa bure anzisha biashara ndani kwa ndani, imarisha viwango na uzalishaji. Makampuni yote duniani yalianza kama local companies nchini mwao baadae yakapanuka hadi nje ya mipaka. Mbongo anataka aanzie nje ya mipaka. Kudadadeki!
Acha ujuaji chief. We unajuaje hana hiyo biashara ya ndani? Siku nyingine kama huna ushauri vunga.
 
Back
Top Bottom