Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine

Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine

Lazima uwe na mteja nje ya nchi.hakikisha pesa imeingia katika akaunti yako ndio utoe shehena,sina uhakika kama mahindi bado ni marufuku kuuza nje,mengine huhitaji kibali.onana na clearing ajent atakusaidia kutengeneza nyaraka
Kabombe, naweza pata mawasiliano yako tafadhali ili uweze nifahamisha zaidi pindi ntakapohitaji msaada wako?
 
Tupe data mkuu

Toa darasa hapa kwano hii mada inanfanywa kuwa siri kwa wachache waliofanikiwa matokeo yake ni kuwa biashara yetu kimataifa ni ndogo badala ya kuinuana ili tuuze nje kwa wingi

Data kwa uwingi anazo Kabombe, kwani alisha ulizwa kwenye uzi huu na akajibu kwamba ni mzoefu wa biashara ya kusafirisha mazao nje ya nchi.

Mimi unawezakuta nina knowledge kidogo kwa kufanya utafiti, lakini kwa ujuzi niko sifuri. Kwa hiyo nikaku peleka wewe na wengine pabaya kwa ushauri wangu usiyokuwa na experience ya kutosha.

Kabombe mwaga vitu hapo tafadhali..
 
naomba kufahamishwa zaidi.TT ni telegraphic transfer au? na LC? sijawapata vizuri.
-Nalima mchele mbeya.nafkiria kuanza kuexport.
 
Falcon Mombasa hatoi machaka,anazitengeneza dola peke yake
Huwa nanunua mchele wakati wa ukiwa na bei ndogo then ukipanda nauuza,vip kwa ku-export nje naweza kuupeleka nchi gani ambao wanaweza kupenda mchele wetu wa Mbeya,na bei yake huko kama unafahamu na naweza kuanza na tani ngapi za mchele ili niukusanye vilivyo mwezi June.
 
Huwa nanunua mchele wakati wa ukiwa na bei ndogo then ukipanda nauuza,vip kwa ku-export nje naweza kuupeleka nchi gani ambao wanaweza kupenda mchele wetu wa Mbeya,na bei yake huko kama unafahamu na naweza kuanza na tani ngapi za mchele ili niukusanye vilivyo mwezi June.
Mchele peleka zanzibar una bei ya afadhali,ku export mchele kaka utapata kifaduro.kuna mchele wa pakistan umenyooka! Bei yake inaweza hata kufika nusu ya mchele wa kwetu katika soko la dunia,tatizo wenzetu wanapewa ruzuku na serikali ndio maana bei zao ni za chini sana sokoni kulinganisha na za kwetu
 
Mchele peleka zanzibar una bei ya afadhali,ku export mchele kaka utapata kifaduro.kuna mchele wa pakistan umenyooka! Bei yake inaweza hata kufika nusu ya mchele wa kwetu katika soko la dunia,tatizo wenzetu wanapewa ruzuku na serikali ndio maana bei zao ni za chini sana sokoni kulinganisha na za kwetu
Aksante sana kwa ushauri huo.Ubarikiwe zaidi
 
Ku Export labda kama unataka ku export kwenda kenya, Rwanda na kazalika. Ila kwa Jumuia ya Ulaya au Marekani ni very complicated sana na Asia badhi ya nchi.
 
kwa nini ni complicated?
Mkuu wale wana sheria kari sana kuhusu vyakula, mpaka ku meet standard zao sio swala dogo kabisa lazima uwe unazalisha organic,

Na kama unatarajia kununua kwa watu ndo na wewe ukauze inakuwa ngumu sana ku contro ubora
 
Vipi kuhusu Soko la unga wa mahindi, ngano na mchele, nje ya nchi? yeyote mwenye ufahamu plz karibu tusikie mawazo yako!!!
 
Global forum on agriculture research,GFAR inatoa funding opportunity kwa vijana wote ulimwenguni wenye umri chini ya miaka 39 wanaofanya au wenye mawazo mazuri juu ya kilimo, uvuvi na ufugaji.

Mwisho wa kutuma proposal ulikuwa ni tarehe 11 mwezi wa tatu 2016, ila wakabadilisha na kuwa tarehe 9 mwezi wa tatu 2016.

Fursa hii niliigundua siku chache zilizopita na kwa neema ya Mungu nimefanikiwa kutuma proposal yangu tarehe 9, unaweza ukaipitia na kujua wazo nililonalo juu ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba msiache kucomment chini ya proposal yangu pamoja na kushare katika mitandao ya kijamii maana kwa kufanya hivyo mtaifanya proposal yangu kuwa katika fursa hii na kuwa ni moja kati ya proposal 20 zitakazo chaguliwa, hii ni muhimu sana ndugu zangu .Kuiona proposal na kucomment (muhimu sana) tembelea hapa YAP proposal #371: Enabling Local Fresh Organic Producers to Succeed in the European Market (Joel Robert, Tanzania)

Fursa bado zipo, wewe ambaye umekuwa ukitafuta funds, usijali zipo fursa mbalimbali za kuwezeshwa na nyingi mno, tembelea www.terravivagrants.info

Nakaribisha maswali pamoja na mawazo.

Karibuni sana,

Asanteni kwa upendo wenu.
 
Back
Top Bottom