Halafu niwafundishe jambo. Vijana mnaoingia katika shughuli za kilimo kinachowaghalimu kufanikiwa katika kilimo ni tabia ya kuplay roles zaidi ya moja mtu moja huyo huyo. Wewe ni mkulima kazi yako ni kulima mazao ya standard inayotakiwa basi.
Sasa unakuta mtu mkulima yeye, msafirishaji yeye, mtu wa masoko yeye, bwana shamba yeye, dalali yeye, manager yeye, store keeper yy sasa mwisho wa siku akipiga mavuno mara moja tu kurudia tena hataki hata kusikia anaaacha. Tunakuwa tunafanya kilimo cha kujaribu.