Huwezi kwenda depo (kiwandani) kule wanaenda mawakala Wakuu TU.
Mtaji wa kuwa wakala Mkuu sio wa kuanza kudiscuss hapa, Fanya tu biashara ya gas kwa level hyo hyo uliyopo Mkuu.
Bado faida utaiona vyema wala hutopata stress,Komaa anza na ulichonacho.
Cha muhimu Kuwa makini,wauza gas namaanisha wasambazaji madereva wanaosambaza gas kwa wateja Huwa wanaongeza sana vi buku buku na vijero jero...
Usije ukatajiwa bei yakununua ni 19,000 ukaona ndogo ukawa unatoa hela, wakat huo wenzio mahali wananunua kwa 17,000...
Gas ni biashara hutakiwi kuagiza kwa mtu 1 unatakiwa akili iwe inafanya utafiti kila iitwapo leo, Maana ina madalali wengi sanaa kuanzia kwenye gas yenyewe mpk kwenye Vifaa vyake.
ili uone faida vyema zuia upoteaji wa vile vijero jero na vibuku buku wanavyokuongezea wauzaji wasambazaji.
Ukiuza Gas 22,000
Jirani ako akiuza gas 21,500 nakuhakikishia wewe utamlaumu sana Mungu kwann wateja hawakuoni...
Ofa INAENDELEA upande huu HUKU
View attachment 2176534