Biashara ya kuuza kahawa

espresso machine) hii mashine bei gani mkuu vip na hapo daslamu zinapatikana?
 
espresso machine) hii mashine bei gani mkuu vip na hapo daslamu zinapatikana?
Ukipata second use ni Bei chee kidogo ikiwa nzima haina tatizo au haijatumika sana unaweza iotea hata kwa milioni 12----15
Ila mpya Hadi milion 50 na kuendeleza kulingana na ubora na ukubwa wa mashine
 
Ukipata second use ni Bei chee kidogo ikiwa nzima haina tatizo au haijatumika sana unaweza iotea hata kwa milioni 12----15
Ila mpya Hadi milion 50 na kuendeleza kulingana na ubora na ukubwa wa mashine
daaah..mi nikajua millioni mbili
 
Ukipata second use ni Bei chee kidogo ikiwa nzima haina tatizo au haijatumika sana unaweza iotea hata kwa milioni 12----15
Ila mpya Hadi milion 50 na kuendeleza kulingana na ubora na ukubwa wa mashine
Hii bei hatari 😁 hadi nmeshtuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…