wounded man
Senior Member
- Feb 2, 2019
- 165
- 243
Naogopaga haya mahesabu kwenye biasharaUtauza 40000 kwa mikoani na 60 kwa dar
We jamaa unakatisha watu tamaaaPesa ya kuuza mkaa haijawai kuleta maendeleo
We jamaa unakatisha watu tamaaa
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Uhondo Wa ngoma ingia ucheze usipige hesabu za kwenye calculatorUtauza 40000 kwa mikoani na 60 kwa dar
Inategemea ujazo ila hutakosa 20Wana jamvi habari,Nahitaji kuuza mkaa wa kupima kwenye makopo,gunia nanunua sh 25000 je kwenye gunia moja nitapata faida sh.ngapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
NI sehemu ya maendeleo na mpango NI matumizi... Watu wanauza maandazi wanatokaUtapata pesa za kula kunywa kuvaa basi.
Sio kweli pesa huwa hazina alama kwamba zimetoka kwenye biashara gani.Utapata pesa za kula kunywa kuvaa basi.
Sio kweli pesa huwa hazina alama kwamba zimetoka kwenye biashara gani.
Cha msingi ni mahesabu yako tu kwenye matumizi.
Mimi Kuna mtu namfaham anafanya biashara ya mkaa ana pesa kuwazidi hata managers wa kampuni za kibongo.
Imagine hadi majambazi huwa wanamvamia nyumbani kwake na huwa hawakosi kuondoka na milioni 7.
Maisha sio kukariri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huyu ninayemsemea pia anauza kwenye makopo ishu inategemea soko lako umeliseti vipiTunazungumzia anayeuza mkaa wa kupima kwenye makopo au soft
Umenikumbusha mbali, enzi tuko shule, ukinunua maharage unawaza nishati, ilikuwa ni nafuu upike wali maharage ununue kwa mama ntilie.Faida utakayoipata inategemeana na mji unaoishi. Hivyo ni vyema ukaeleza uko mkoa gani ili kupata mahesabu yaliyo kamili. Vinginevyo utapigiwa hesabu ya faida kwa Dsm wakati uko sehemu ambayo hutapata faida zaidi ya sh.5000
Utapata pesa za kula kunywa kuvaa basi.
Dah... Very simpo...Kama kwenye gunia moja utapata vipimo 100 na ukauza gunia moja kwa siku kwa buku kwa kipimo... Faida itakuwa 75,000/ - kwa siku...2,250,000 kwa mwezi...na Kama ukiwa na vijiwe 4...ni 9m kwa mwezi....108m kwa mwaka...na ukikomaa kwa miaka 5 tu...unapata kama 540m faida... ambayo ni zaidi ya mafao ya mbunge....
Conclusion;
Kazi ya kuuza mkaa ni bora zaidi ya Mara 2 ukilinganisha na kazi ya Ubunge
[emoji41]
Sent using Beretta ARX 160