Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
Mitaa inaitwa Kirima barabara ya kwenda ArushaPanaitwaje?
Naonea huruma watoto wanaoishi mitaa ileDoooh sio powa aisee
Ngoja nikacheki, nina safari ya uko next week.Mitaa inaitwa Kirima barabara ya kwenda Arusha
π UKIMWI upo na UNAUANgoja nikacheki, nina safari ya uko next week.
Ni bore wakajiuzie kwenye ma bar hukoPia ungepropose wahamishiwe wapi?
Sijajua, maana mm Singida ni mgeni tu hapani wengi kuliko kwa tumbo?
Huu uzi nime bookmark ππWatoto wa kinyaturu walivyo weupe,nikipita singida itabidi nikawafukuze[emoji28]
Share location Kwa Google map. Nipo Manyoni kikazi pangu pakavu wiki ya 2 sasaHabari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili π
Karibu na TRA na CRDB au mitaa ipi?Mitaa inaitwa Kirima barabara ya kwenda Arusha
Huenda wao ndio walikuonea huruma wewe.Naonea huruma watoto wanaoishi mitaa ile