Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ulikotoka hakuna mtaa wenye malaya?Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili 😭
i smell something fishy here!!!!Panaitwaje?
😆😆😆😂Htr hiiHuko ulikotoka hakuna mtaa wenye malaya?
Ni hapo hapo anakoelezea,Toka TRA ni hatua 20 TU,kama unaenda Arusha ni mkono wa kushoto.Karibu na TRA na CRDB au mitaa ipi?
HtrAhhah 🤣🤣
Twende kwenye masifu ya jion
Twende kwakwerTwende kwenye masifu ya jion
Karibu na mawe fulani hivi njia ya kwenda ArushaKaribu na TRA na CRDB au mitaa ipi?
Mimi naishi mkoani, hakunaga biashara za wazi za kuuza nyapuHuko ulikotoka hakuna mtaa wenye malaya?
Ngoja niandae mazingiraTwende kwakwer
Mkoa gani usio na hiyo biashara? Hebu utajeMimi naishi mkoani, hakunaga biashara za wazi za kuuza nyapu
Utakuwa umesimuliwa labda,ule mtaa hauna nyumba za makazi una ma_guest na ma_bar tuu nimepita jana.Sijajua, maana mm Singida ni mgeni tu hapa
Nilifika, na niliona watoto wanacheza na ilikuwa saa mbili na madk usiku!Utakuwa umesimuliwa labda,ule mtaa hauna nyumba za makazi una ma_guest na ma_bar tuu nimepita jana.