Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
- Thread starter
- #41
😂😂😂Sasa huoni kama unawapa promo kwa Wateja? [emoji23]
Anayeenda na aende tu, CTCs zinapokea wateja wapya wa ARVs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Sasa huoni kama unawapa promo kwa Wateja? [emoji23]
Kila mtu anauza chake, hawa wanauza bandari, hawa wanauza nyuchi.Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili ðŸ˜
Kuna member kasema hadi buku mbili unapata uteleziMkuu bei zao zimekaeje
Mm nilijua pale ubungo, pamechangaka kwa sababu ya biashara ya kuku,,,,,, kumbe hadi nyapu zinauzwa pale !!Huo mtaa hauitwi kirima, unaitwa mughanga/mwenge. Ni eneo ambalo ipo baa maarufu ya kirima. Hao malaya/makahaba wametapakaa kuanzia hapo mpaka stendi ya zamani kuna kaeneo kamepewa jina kanaitwa ubungo, kuanzia jioni mpaka usiku pamechangamka kwa biashara za usiku. Cha ajabu ikifika saa tatu usiku hao makahaba wanavua nguo za staha na kubaki na hizo za ndani. Mbaya zaidi wanazingira mpaka wazee. Ukiwaambia mi ni mzee wanakujibu una uzee gani, kwani haisimami? Sha shaa ukapate, ukiwaambia huna hela wanataka mpaka buku mbili. Ukienda kupewa usizidishe muda wanaoupanga wao kulingana na kiasi cha hela ulichotoa. Ukizidisha muda wanakuchomolea na kudai uongeze hela, kama hutaki imeisha hiyo hata kama hujafika tamatini. La sivyo ongeza hela. Ni washenzi kweli hao makahaba wanachotaka ni hela tu, mapenzi wanakuambia kamuoneshe mkeo
Haufiki lile kanisa sa tag...? Kwenye jiwe kubwa...?Ni hapo hapo anakoelezea,Toka TRA ni hatua 20 TU,kama unaenda Arusha ni mkono wa kushoto.
Kirima BoroPanaitwaje?
Hata jina linasadiki yaliyomo, waache bhana waendelee kuzlima[emoji87]Kirima Boro
Ngoja niandae mazingira. Altar e Leo kupo na kitambaa rangi gani shemasi
Alafu kumbe Leo ni sikukuu na hukusema we unahatariNgoja niandae mazingira
Mbususu izi jmn 😄Kuna watu vijijini kwao wanajua mabinti zao wameajiriwa mjini, hela wanarushiwa, wajukuu wao wanasoma. Kumbe mabinti wanauza uchi town. Acha watu watafute hela. Mtoto anafanya nini mtaani usiku?
Nilisahau kabisa shemasAlafu kumbe Leo ni sikukuu na hukusema we unahatari
Unajua ni sikukuu ya niniNilisahau kabisa shemas
Hapana embu nijuze macho ya uzeeUnajua ni sikukuu ya nini