Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Jamii za wanawake wanaokeketwa umalaya ni biashara halali Kwa riziki ya maisha kama ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kawafungulia na gesti pale pale kirima 😁😁Kirima Boro
umefika kwa nyokaa stendi ya zamani kule ndio hapafai kabisa usikuMitaa inaitwa Kirima barabara ya kwenda Arusha
Aisee Kioso mmejaa Singida kama Sambarai kmmkKido mbe, mbacho kawafungulia na gesti pale pale kirima wandu wasembane 😁😁
Umeshaambiwa mpaka 2000 wanakubaliMkuu bei zao zimekaeje
Uliopoa mmoja?Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili 😭
MadikenyaKido mbe, mbacho kawafungulia na gesti pale pale kirima wandu wasembane [emoji16][emoji16]
Wivu tuUongozi wa eneo husika unaona, serikal ya mtaa, diwan, jeshi la polisi n.k wanaona/ kusikia, shortly wametoa baraka kama hawachukui hatua
hayo mambo tuliyaona dar sana lakini siku hizi hadi miji mingine yapo. Niliposikia kuna eneo limepewa jina la ubungo na kunauzwa nyama hizo muda huo ilibidi nifanye utalii kujionea biashara hiyo katika mji ambao hudhani kama biashara hiyo inafanyika kama dar. Awali nilichunguza na kubaini kuwa wale makahaba si wenyeji bali ni wageni walioenda ku lounch biashara hiyo mikoani. Wamepanga mitaani wana vyumba vyao na wengine wanalalalala guest hapa na pale mradi tu wanapata fedha za kulipia vyumba wanavyolala. Ukiwataka jiandae kisaikolojia kuwa hutafurahia shoo kama hutawapa hela ndefu utakatizwa uongeze, hutaki kuongeza dau imetoka hiyo, ukileta za kuleta unajaziwa watu kuwa unamfanyia dhuluma. Tahadhari: makahaba wengine ni wezi na wanyang'anyi, wanashirikiana na vibaka kupora wateja wao fedha na simuMm nilijua pale ubungo, pamechangaka kwa sababu ya biashara ya kuku,,,,,, kumbe hadi nyapu zinauzwa pale !!
Sikukuu ya Mt. LaurentHapana embu nijuze macho ya uzee
😂😂😂😂Aliesema ukanunue nanihayo mambo tuliyaona dar sana lakini siku hizi hadi miji mingine yapo. Niliposikia kuna eneo limepewa jina la ubungo na kunauzwa nyama hizo muda huo ilibidi nifanye utalii kujionea biashara hiyo katika mji ambao hudhani kama biashara hiyo inafanyika kama dar. Awali nilichunguza na kubaini kuwa wale makahaba si wenyeji bali ni wageni walioenda ku lounch biashara hiyo mikoani. Wamepanga mitaani wana vyumba vyao na wengine wanalalalala guest hapa na pale mradi tu wanapata fedha za kulipia vyumba wanavyolala. Ukiwataka jiandae kisaikolojia kuwa hutafurahia shoo kama hutawapa hela ndefu utakatizwa uongeze, hutaki kuongeza dau imetoka hiyo, ukileta za kuleta unajaziwa watu kuwa unamfanyia dhuluma. Tahadhari: makahaba wengine ni wezi na wanyang'anyi, wanashirikiana na vibaka kupora wateja wao fedha na simu
bei zao zipojepoje,ungetupia kapicha😁😁Mitaa inaitwa Kirima barabara ya kwenda Arusha
Sema nilikuwa singida saivi nipo dar ila napita hapo mara moja moja, wakiosi wapo wengi sana pamoja na dodoma pia wapo, shinyanga pia kahama, Tabora yote nawafahamu wengi sana waliopo huko.Aisee Kioso mmejaa Singida kama Sambarai kmmk
NdiyoMadikenya
Atuombee 🙏🙏 kristoSikukuu ya Mt. Laurent
Amen naleo ukumbuke kuna kumbukumu ya bikira piaAtuombee 🙏🙏 kristo