DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Biashara hii imelea na kusomesha wengi tu,kinachotakiwa ni kupendekeza mazingira yatakaofanya biashara hii isilete matokeo hasi kwa watoto, kuwatengea pink area within town na kutoa elimu ya kujikinga na STIs, na wapewe pia panic buttons zilizounganishwa na vituo vya police kwa ulinzi wao, huwezi to kuifuta biashara hii hapa duniani kwa nguvu, biashara hii tumeikuta,tutaiacha inaendelea,mtoa hoja relax mkuu na njoo na the way forward kuiboresha kisheria
NAKAZIA

Hawa viumbe muhimu sana kwenye jamii, malaya wapewe haki zao
 
Habari wakuu!

Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.

Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24]

USHSURI: Hawa Sex workers wapewe TIN NUMBERS na maeneo maalumu ya biashara zao. Na walipie kodi.
Eti "Jana nilibahatika kupita..."

Sasa mkuu, yani kupita tu hiyo mitaa ni bahati?

Nchi ngumu sana hii [emoji23][emoji23]
 
Habari wakuu!

Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.

Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24]

USHSURI: Hawa Sex workers wapewe TIN NUMBERS na maeneo maalumu ya biashara zao. Na walipie kodi.
Sasa ukimpatin number si ndo atakuwa anajiachia kabisa mana anajua atakuw asumbuliwi
 
Nitafanya tena utalii eneo hilo la kirima ili kuzinguana na hao makahaba. Shida yao wapate nawaandalia buku mbilimbili kuwapa kama wakinizingira usiku huo ili nitoke salama ila kuwanyandua sitaki, maana hata ukitaka kuwanyandua hutafurahia penzi lao ni la kuharakishwa. Pale hata ukinywa viagra na vumbi la kongo unajisumbua bure hawataki shoo za muda mrefu. Pale uende ukiwa umesimamisha mti kabisa na dakika mbili ufike tamati usitake kuendelea raundi ya pili utailipia tena. Wana visa vingi sana hao makahaba ukiwaendea jipange sawasawa
 
Ndiyo nilikuwa namuuliza Kirima imetoka wapi Singida?
Kirima ni bar ya mchagga wa kibosho kirima.

Inshort ukiachilia mbali Rwezahura, Rhode.

karibu bar zingine zote hapo singida ni za wachagga wa kibosho mfano....Kirima kina massawe mbacho, Serengeti ya kina mmasy, Nyoka lounge ya kina Mwacha sijui, Star city ya Msele, kuna hii bar imefunguliwa kama unaenda mwenge ndani ndani nasikia ni ya Munishi, Stanley Mushi ana ile stanley motel na kama unaenda gineri kuna garden moja nzuri, MYK bar na Kisoka bar....

pia narina ni ya mchagga
Kilimanjaro bar ni ya mchagga wa rombo
Sky way pazuri sijajua ya kina nani 😅😅😅

Sijaleta ukabila lakini nisieleweke vibaya....
 
Back
Top Bottom