DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Utakuwa umesimuliwa labda,ule mtaa hauna nyumba za makazi una ma_guest na ma_bar tuu nimepita jana.
muda wa kupita unatofautiana ila Singida mjini hakuna sehem iliyojaa bar na guest tu lzm ziwepo nyumba mbili tatu so ni wajibu wa serikali watafute au wawape mazingira sahihi ya umalaya wao either ndan ya mabar au ndani ya majengo sio kuzagaa barabarani ni htr kwa vijana wa kesho
 
Singida matajiri wote ni wachaga
Kirima ni bar ya mchagga wa kibosho kirima.

Inshort ukiachilia mbali Rwezahura, Rhode.

karibu bar zingine zote hapo singida ni za wachagga wa kibosho mfano....Kirima kina massawe mbacho, Serengeti ya kina mmasy, Nyoka lounge ya kina Mwacha sijui, Star city ya Msele, kuna hii bar imefunguliwa kama unaenda mwenge ndani ndani nasikia ni ya Munishi, Stanley Mushi ana ile stanley motel na kama unaenda gineri kuna garden moja nzuri, MYK bar na Kisoka bar....

pia narina ni ya mchagga
Kilimanjaro bar ni ya mchagga wa rombo
Sky way pazuri sijajua ya kina nani [emoji28][emoji28][emoji28]

Sijaleta ukabila lakini nisieleweke vibaya....
 
Lakini alimuuzia mbacho mkuu huyo mushi nasikia yupo dar, sijajua kwa nini wenyeji pale town wamelala mpaka fursa zote tumezichukua.

katika wachagga tuliokuwa inferior ni sisi lakini nowdays tuko juu sana [emoji16][emoji16][emoji16] wamachame hawatuambia kitu tena
Wamachame sio level zenu
 
Habari wakuu!

Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, yaani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, in short yaani ni uchafu mtupu.

Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili 😭.
Sio Singida peke yake ni nchi nzima sidhani kama kuna mkoa hakuna hizo sehemu wanawake wanajiuza.Kwa hili wanawake huwa nawadharau sana,kutwa wako kwenye majukwaa kukemea kudai haki zao,lakini hili la kujiuza sijawahi kuwaona jinsi gani wanapambana kulitokomeza,hii ni moja ya mambo yanayowadhalilisha sana wanawake....
 
Habari wakuu!

Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, yaani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, in short yaani ni uchafu mtupu.

Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24].
...Miaka 10 na 20 ijayo Mkuu ?? SEMA Mitano ijayo. Inasikitisha...! [emoji45]
 
Back
Top Bottom