DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
hayo mambo tuliyaona dar sana lakini siku hizi hadi miji mingine yapo. Niliposikia kuna eneo limepewa jina la ubungo na kunauzwa nyama hizo muda huo ilibidi nifanye utalii kujionea biashara hiyo katika mji ambao hudhani kama biashara hiyo inafanyika kama dar. Awali nilichunguza na kubaini kuwa wale makahaba si wenyeji bali ni wageni walioenda ku lounch biashara hiyo mikoani. Wamepanga mitaani wana vyumba vyao na wengine wanalalalala guest hapa na pale mradi tu wanapata fedha za kulipia vyumba wanavyolala. Ukiwataka jiandae kisaikolojia kuwa hutafurahia shoo kama hutawapa hela ndefu utakatizwa uongeze, hutaki kuongeza dau imetoka hiyo, ukileta za kuleta unajaziwa watu kuwa unamfanyia dhuluma. Tahadhari: makahaba wengine ni wezi na wanyang'anyi, wanashirikiana na vibaka kupora wateja wao fedha na simu
Kuna kahaba mmoja niliwahi kumshuhudia maeneo ya Kinondaoni makaburini akimchomolea mteja kabla hajamwaga. Kumbe huwa wanafanya ushenzy huo ukiwa umelipa dau dogo? Wapuuzi sana hawa makahaba aisee.

Kwanza mteja anayeenda kununua nyapu anakuwa na kiu ya kutosha huwa hakawii kumwaga. Kwanini sasa wanawakatili wateja wao kiasi hicho?

Wajifunze customer care kama wafanyavyo makahaba wa Nairobi; wapo smart sana na wako makini kwenye upande wa customer care.
 
Biashara hii imelea na kusomesha wengi tu,kinachotakiwa ni kupendekeza mazingira yatakaofanya biashara hii isilete matokeo hasi kwa watoto, kuwatengea pink area within town na kutoa elimu ya kujikinga na STIs, na wapewe pia panic buttons zilizounganishwa na vituo vya police kwa ulinzi wao, huwezi to kuifuta biashara hii hapa duniani kwa nguvu, biashara hii tumeikuta,tutaiacha inaendelea,mtoa hoja relax mkuu na njoo na the way forward kuiboresha kisheria
Aisee ukisikia devil possesed n speaking in a man ndio hii
 
Habari wakuu!

Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, yaani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, in short yaani ni uchafu mtupu.

Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24].
Hii ni biashara pendwa toka enzi na enzi ipo.

Kuna wapelelezi wa Israel ktk biblia Mungu aliwaponya kwa kuwahifadhi kwa malaya.

Naye Malaya alipata kupona kuuawa kwa kazi hii.

Nashauri wapangiwe utaratibu wa kuendesha biashara kisasa bila kubughudhiwa.

Ukiwaona hao ujue wanunuaji ni wanaume na inasaidia hasa pale unaponyimwa nyumbani unakwenda kupoza machungu.
 
Ila kuna mambo unaweza kuyaepuka, kama kugonga malaya ni kutafuta UKIMWI kwa lazima
Mkuu malaya wapo makini sana kwenye matumizi ya kondomu. Sasa huo UKIMWI watakuambukizaje au wataambukizwaje na wateja? Malaya wa mtaani ndio tatizo maana kila mtu anajigongea kavu bila kuogopa. Kwanza mtu akienda kwa malaya anakuwa na kiu ya ajabu....dakika 0 tu umefika Kibo. Utapata UKIMWI saa ngapi? Acha kuwatisha raia wakakate kiu kwa malaya. Unataka watu wabake? Acha hizo mkuu.
 
Hii ni biashara pendwa toka enzi na enzi ipo.

Kuna wapelelezi wa Israel ktk biblia Mungu aliwaponya kwa kuwahifadhi kwa malaya.

Naye Malaya alipata kupona kuuawa kwa kazi hii.

Nashauri wapangiwe utaratibu wa kuendesha biashara kisasa bila kubughudhiwa.

Ukiwaona hao ujue wanunuaji ni wanaume na inasaidia hasa pale unaponyimwa nyumbani unakwenda kupoza machungu.
Mkuu umeongea jambo la msingi sanaaaaa!
 
Wanawake waliumbwa na vazi la kuwasitiri linaitwa AIBU/SONI/HAYA!!!. Wanawake wanaofanikiwa kulivua vazi hilo usiombe kukutana nao!! Kinga ya pili waliyoumbwa nayo wanawake ni kukosa nguvu ya misuli!!! Vinginevyo wangekuwa na misuli ya kutosha, wangewabaka sana wanaume!!
Kisheria mwanaume anaweza kubakwa.... ila kisayansi mwanaume hawezi kubakwa

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini wanawake wa singida
Utulivu huwa sifuri....
Maana utakuta 60% ya malay wanawake ni kutoka sing singda, kondoa nk

Ova
This might be overrated au kweli pia. The fact is huwa wapo inferior na kutokana na kutokea familia duni na ushamba wao basi wanatumikishwa kingono... na wanapewa kazi za maids wengi ambazo they are nearly to be risk.
Ila sio kweli kwamba kabila zingine sio malaya.
 
Kibosho Mango. Mimi nimewahi kufanya kazi kwa fulan pale kwa Sango, Bahi Road na Area C enzi za marehemu Mselia aliyejipiga risasi baada ya Magu kupiga marufuku viroba orijino.

Mselia alikuwa na shehena ya bolion 2+
Asee bilioni 2+
 
Huo mtaa hauitwi kirima, unaitwa mughanga/mwenge. Ni eneo ambalo ipo baa maarufu ya kirima. Hao malaya/makahaba wametapakaa kuanzia hapo mpaka stendi ya zamani kuna kaeneo kamepewa jina kanaitwa ubungo, kuanzia jioni mpaka usiku pamechangamka kwa biashara za usiku. Cha ajabu ikifika saa tatu usiku hao makahaba wanavua nguo za staha na kubaki na hizo za ndani. Mbaya zaidi wanazingira mpaka wazee. Ukiwaambia mi ni mzee wanakujibu una uzee gani, kwani haisimami? Sha shaa ukapate, ukiwaambia huna hela wanataka mpaka buku mbili. Ukienda kupewa usizidishe muda wanaoupanga wao kulingana na kiasi cha hela ulichotoa. Ukizidisha muda wanakuchomolea na kudai uongeze hela, kama hutaki imeisha hiyo hata kama hujafika tamatini. La sivyo ongeza hela. Ni washenzi kweli hao makahaba wanachotaka ni hela tu, mapenzi wanakuambia kamuoneshe mkeo

Mkuu ulipewa dakika mbili nn [emoji74][emoji74]mbona unalalamika ivooo
 
Back
Top Bottom