mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hapo hakuna cha utelezi wala nini! Watakuwekea mate yao tu huko!!Kuna member kasema hadi buku mbili unapata utelezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hakuna cha utelezi wala nini! Watakuwekea mate yao tu huko!!Kuna member kasema hadi buku mbili unapata utelezi
Ilikuwa mishale ya saa ngapi?Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, yaani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, in short yaani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili 😭.
We vp unataka kwenda au!?Panaitwaje?
Et tunge bakwa.Wanawake waliumbwa na vazi la kuwasitiri linaitwa AIBU/SONI/HAYA!!!. Wanawake wanaofanikiwa kulivua vazi hilo usiombe kukutana nao!! Kinga ya pili waliyoumbwa nayo wanawake ni kukosa nguvu ya misuli!!! Vinginevyo wangekuwa na misuli ya kutosha, wangewabaka sana wanaume!!
Sio hakuna huzijui tuMimi naishi mkoani, hakunaga biashara za wazi za kuuza nyapu
Halafu sio wachoyo kabisa, wakimaliza / wakachoka maeneo hayo wanasogea mikoa mingine wengine wanakuwa wahudumu, sema masela tutafika tumechoka sanaWatoto wa kinyaturu walivyo weupe,nikipita singida itabidi nikawafukuze[emoji28]
Mkuu unataka askari wetu wakiwa lindo usiku wakapone wapi? Kazi na dawaUongozi wa eneo husika unaona, serikal ya mtaa, diwan, jeshi la polisi n.k wanaona/ kusikia, shortly wametoa baraka kama hawachukui hatua
Legend, asante kwa kutuwakilisha mkuu pande hizoHuo mtaa hauitwi kirima, unaitwa mughanga/mwenge. Ni eneo ambalo ipo baa maarufu ya kirima. Hao malaya/makahaba wametapakaa kuanzia hapo mpaka stendi ya zamani kuna kaeneo kamepewa jina kanaitwa ubungo, kuanzia jioni mpaka usiku pamechangamka kwa biashara za usiku. Cha ajabu ikifika saa tatu usiku hao makahaba wanavua nguo za staha na kubaki na hizo za ndani. Mbaya zaidi wanazingira mpaka wazee. Ukiwaambia mi ni mzee wanakujibu una uzee gani, kwani haisimami? Sha shaa ukapate, ukiwaambia huna hela wanataka mpaka buku mbili. Ukienda kupewa usizidishe muda wanaoupanga wao kulingana na kiasi cha hela ulichotoa. Ukizidisha muda wanakuchomolea na kudai uongeze hela, kama hutaki imeisha hiyo hata kama hujafika tamatini. La sivyo ongeza hela. Ni washenzi kweli hao makahaba wanachotaka ni hela tu, mapenzi wanakuambia kamuoneshe mkeo
Inasemekana hadi buku mbili.Kama unawataka,nakusihi pitia pharmacy ununue na Azuma kabisa,ukimaliza kumfanya mmoja wao,kunywa kabisa dawa. Huna haja ya kwenda maabara kujipima kama ma UTI umeyapata.Mkuu bei zao zimekaeje
Halafu takwimu zinaonyesha,walioko kwenye ndoa ndiyo wengi wana UKIMWI,sijui inakuaje hapa?Ila kuna mambo unaweza kuyaepuka, kama kugonga malaya ni kutafuta UKIMWI kwa lazima
Hiyo tafiti ilifanyika wapi mkuu?Halafu takwimu zinaonyesha,walioko kwenye ndoa ndiyo wengi wana UKIMWI,sijui inakuaje hapa?
Noma sana!Hili kwerbjiwe la week sasa ushauri wako ni kwamba tunaitaji uterezi bila shida muunganiko wa nafsi pamoja na mikosi alafu kesho unataka utoboe
Noma sana!Kila mtu anauza chake, hawa wanauza bandari, hawa wanauza nyuchi.
At high level wanafeli, basi wahalalishe iwe legalMkuu unataka askari wetu wakiwa lindo usiku wakapone wapi? Kazi na dawa
Wengi tu wateja wa hizo bidhaa, msituzingizie sisi walevi pekee!!Ni bore wakajiuzie kwenye ma bar huko
Hawa makahaba wanauze QUMER na serikali inauza BANDARI; ngoma droo......kila mtu auze alicho nacho, isiwe shida.Huo mtaa hauitwi kirima, unaitwa mughanga/mwenge. Ni eneo ambalo ipo baa maarufu ya kirima. Hao malaya/makahaba wametapakaa kuanzia hapo mpaka stendi ya zamani kuna kaeneo kamepewa jina kanaitwa ubungo, kuanzia jioni mpaka usiku pamechangamka kwa biashara za usiku. Cha ajabu ikifika saa tatu usiku hao makahaba wanavua nguo za staha na kubaki na hizo za ndani. Mbaya zaidi wanazingira mpaka wazee. Ukiwaambia mi ni mzee wanakujibu una uzee gani, kwani haisimami? Sha shaa ukapate, ukiwaambia huna hela wanataka mpaka buku mbili. Ukienda kupewa usizidishe muda wanaoupanga wao kulingana na kiasi cha hela ulichotoa. Ukizidisha muda wanakuchomolea na kudai uongeze hela, kama hutaki imeisha hiyo hata kama hujafika tamatini. La sivyo ongeza hela. Ni washenzi kweli hao makahaba wanachotaka ni hela tu, mapenzi wanakuambia kamuoneshe mkeo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Et tunge bakwa.