DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Inaelekea thread imekuvutia sanaPia ungepropose wahamishiwe wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea thread imekuvutia sanaPia ungepropose wahamishiwe wapi?
Lakini alimuuzia mbacho mkuu huyo mushi nasikia yupo dar, sijajua kwa nini wenyeji pale town wamelala mpaka fursa zote tumezichukua.Ahaaa dede kulya Kirima Wamushi nyiwo wafye
Mmassy ukoo wangu huo. Kule Dodoma kuna sehemu inaitwa Kwa Sango, kuna Kidia Visition Hotel, Mkomilo nkKirima ni bar ya mchagga wa kibosho kirima.
Inshort ukiachilia mbali Rwezahura, Rhode.
karibu bar zingine zote hapo singida ni za wachagga wa kibosho mfano....Kirima kina massawe mbacho, Serengeti ya kina mmasy, Nyoka lounge ya kina Mwacha sijui, Star city ya Msele, kuna hii bar imefunguliwa kama unaenda mwenge ndani ndani nasikia ni ya Munishi, Stanley Mushi ana ile stanley motel na kama unaenda gineri kuna garden moja nzuri, MYK bar na Kisoka bar....
Sky way pazuri sijajua ya kina nani 😅😅😅
Sijaleta ukabila lakini nisieleweke vibaya....
Kuna Mushi mmoja anajenga ghorofa kubwa pale Sinza Mugabe DSM. Kikundi chao ukitaka kuingia sharti uwe na milioni 50 kwanzaLakini alimuuzia mbacho mkuu huyo mushi nasikia yupo dar, sijajua kwa nini wenyeji pale town wamelala mpaka fursa zote tumezichukua.
katika wachagga tuliokuwa inferior ni sisi lakini nowdays tuko juu sana 😁😁😁 wamachame hawatuambia kitu tena
Wewe ni mmasy wa wapi dodoma nimekaa na wammasy sanaMmassy ukoo wangu huo. Kule Dodoma kuna sehemu inaitwa Kwa Sango, kuna Kidia Visition Hotel, Mkomilo nk
Mazimba kina mushi kimboka😆😆😆Kuna Mushi mmoja anajenga ghorofa kubwa pale Sinza Mugabe DSM. Kikundi chao ukitaka kuingia sharti uwe na milioni 50 kwanza
Kibosho Mango. Mimi nimewahi kufanya kazi kwa fulan pale kwa Sango, Bahi Road na Area C enzi za marehemu Mselia aliyejipiga risasi baada ya Magu kupiga marufuku viroba orijino.Wewe ni mmasy wa wapi dodoma nimekaa na wammasy sana
Sawa kijana baba parokoAmina mkuu
Asnt kwa kutupatia location nikija Singida nitawatafuta niwaungisheHabari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24]
USHSURI: Hawa Sex workers wapewe TIN NUMBERS na maeneo maalumu ya biashara zao. Na walipie kodi.
Ndo ccmu ya ss hiyo , watakwambia sasa wafanyaje?Habari wakuu!
Jana nilibahatika kupita mitaa ya hapa Singida Mjini kuna sehemu wanaita Kirima, Yani hapo nilikuta malaya wamejipanga wakiwa wamevaa hovyo wengine chupi, boksa, In short yani ni uchafu mtupu.
Kilichonisikitisha zaidi ile ni mitaa ya makazi ya watu na niliona watoto wadogo wanacheza mitaa ile, nikawaza miaka 10_20 ijayo hao watoto watakuwa katika hali gani ya maadili [emoji24]
Nini kazi ya serikali ? Yeye Kapita kaona mazingira sio rafiki kwa watoto taifa la kesho , ss wewe iulize serikali yako hayo maswali maana wanaishi hapo hapoPia ungepropose wahamishiwe wapi?
Tuelekeze kwa Tumbo Tandale au?Ili tukienda tuje kukujibuni wengi kuliko kwa tumbo?
Bunge linafanya kazi gani kwenye swala la sheria maana siku hizi wanasema wao ndo wanatupa maoni ili watufunzeBiashara hii imelea na kusomesha wengi tu,kinachotakiwa ni kupendekeza mazingira yatakaofanya biashara hii isilete matokeo hasi kwa watoto, kuwatengea pink area within town na kutoa elimu ya kujikinga na STIs, na wapewe pia panic buttons zilizounganishwa na vituo vya police kwa ulinzi wao, huwezi to kuifuta biashara hii hapa duniani kwa nguvu, biashara hii tumeikuta,tutaiacha inaendelea,mtoa hoja relax mkuu na njoo na the way forward kuiboresha kisheria
HV umeelewa hoja ya jamaa?Huko ulikotoka hakuna mtaa wenye malaya?
Mbona una bichwa gumu kuelewa ? Anakwambia hakuna biashara za wazi wazi anapoishi , elewa neno wazi wazi , USIPENDE KUTENGEZA UBISHANI WA KIJINGAMkoa gani usio na hiyo biashara? Hebu utaje