Mpya ???Duh! Muda unakimbia saa 2020 nanunua bajaj mpya mil 7 mwaka 2022 nkanunua nyingne TVS king mil 7.5 eti leo mwaka 2024 ni ml 9.5 had 10
Huyu kwa akili zake atataka aletewe hesabu na sio yeye mwenyeweBajaj? Used au? Maana Dukani si bei iko zaidi ya hiyo?
Ongezaa kidogo uchukue Bajaj mpyaa, afu kuwa road.
Wakubwa kwa mtu mwenye mtaji wa milion 10 biashara ipi ni ya uhakika Dar,
1. Uuzaji nguo,
2.uwakala(mpesa,tigo,banks),
3.usafirishaji abiria kwa bajaji
Yah!! niliambiwa inarange m10 hadi 13
Bajaji Bei yake 8.6M-9.5MBajaj? Used au? Maana Dukani si bei iko zaidi ya hiyo?
Ongezaa kidogo uchukue Bajaj mpyaa, afu kuwa road.
zimefika hadi 12 kwa baadhi ya maeneo nduguBajaji Bei yake 8.6M-9.5M
Unataka awe anashinda gereji?Tafuta used bajaji isizidi 6 million inayobakia , 3 million ingiza kwenye uwakala. Inayobakia kilinda mfuko. Kila la kheri.
Zile zilizoboreshwa za siti nne zipo kama gari zinauzwa 14M, hii ya kawaida mwezi wa sita Kuna jamaaa yangu alinunua 8.8M mpyazimefika hadi 12 kwa baadhi ya maeneo ndugu
Pressure hiyiOngezea million 20 nikuuzie fuso tandam
ok hiyo bei niliokupa ni ya mwezi uliopita kwa baadhi ya maeneoZile zilizoboreshwa za siti nne zipo kama gari zinauzwa 14M, hii ya kawaida mwezi wa sita Kuna jamaaa yangu alinunua 8.8M mpya