Phdum
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 1,322
- 3,278
Hapo cha kumshauri ni kwamba kama anauzoefu na driving achukue bajaj mpya na dereva awe mwenyew kwan kwa bajaj mpya uhakika wa 50k+ uhakika.
afu baada ya km 1000 ndo anafanya service na hapo n kumwaga oil kupiga miguu griss kubadil bafa,slider n.k.
gharama haizid 30k na hii ataifanya ndani ya miaka miwil endapo bajaj ikiwa mkononi mwa mtu moja kwan mikon ming uharibu chombo.
Angalizo kama hajawahi kuendesha bajaj asianze na mpya kwan ataiua mapema maana kama sio dereva anaweza akaua mkono kwa kukaba saana mafuta kuchelewa kubadil gear n.k ko bora uanze na used kwa mwana hata miez miwil uwe expert kidg
afu baada ya km 1000 ndo anafanya service na hapo n kumwaga oil kupiga miguu griss kubadil bafa,slider n.k.
gharama haizid 30k na hii ataifanya ndani ya miaka miwil endapo bajaj ikiwa mkononi mwa mtu moja kwan mikon ming uharibu chombo.
Angalizo kama hajawahi kuendesha bajaj asianze na mpya kwan ataiua mapema maana kama sio dereva anaweza akaua mkono kwa kukaba saana mafuta kuchelewa kubadil gear n.k ko bora uanze na used kwa mwana hata miez miwil uwe expert kidg