Emma M Bai
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 223
- 126
Nataka biashara ambayo kama nawekeza pesa yangu ili ispotee uzoefu wangu biashara ya maduka ya vyakulaTafuta ujuzi upige sambusa za nyama utembeze
Lakin mzunguko mkubwa kama upo haina shida kama unauza labda Kwa siku vocha za laki na upo sehem hulip kodi za eneo me naoma kama ndo Fursa peke yakeBiashara ya Vocha ni biashara kichaa mtaji mkubwa faida ndogo
CC Zero IQ
Lakin mzunguko mkubwa kama upo haina shida kama unauza labda Kwa siku vocha za laki na upo sehem hulip kodi za eneo me naoma kama ndo Fursa peke yake
fanya biashara ya matundaLakin mzunguko mkubwa kama upo haina shida kama unauza labda Kwa siku vocha za laki na upo sehem hulip kodi za eneo me naoma kama ndo Fursa peke yake
Sawa lakin ila bado kundi kubwa la watu wa hali ya chini halitumii hizo linatumia za kukwangua naiangalia zaidi hali ya maisha kulingana na sehemu biashara husikaUkumbuke kwamba siku hizi watu wengi hawanunui vocha za kukwangua.
Sana sana ni kupitia huduma za fedha kama MPesa, Airtel Money nk.
hiyo je☝☝☝☝Lengo langu hii pesa sitaki ipotee nataka nifanye kama naiwekeza saw a na mtu anaenunua ardhi
Nikiweka na sigara zote biashara itaenda binadamu lazima avute naweka na Tigo rusha
Karibuni Kwa mtu ambae ana biashara tofauti na hii lakin sitaki iwe na risk sana ambayo haiwez kupoteza pesa hii nataka ambayo ni ndogo ndogo kama hivyo lakin iwe muda with inatoka
Na nitajitahidi iwe masaa 24 huduma ziwepo lazima
Naomba wadau mawazo yoyote ambayo yatakuwa hayalengi kupoteza hii pesa
Ya Matunda brother hii labda niifanyie research kwanzafanya biashara ya matunda
yaani unakatakat then unapack kwenye vi-contena ni biashara inayolipa kutokana na mtaji wako. unaweza kunitajia mkoa unaotoka ili nikuelekeze sehemu zilizo nzuri kwa biashara hii
Poa nitafanya uchunguzi mkitoa mawazo angalieni na namna ya kuilinda pesa ctaki ipotee hii pesaChoma mshkaki
Vipi mkuu funguka nipo ovyo mawazo yako yanaweza kunisaidiahiyo je☝☝☝☝
Ina hela sanaPoa nitafanya uchunguzi mkitoa mawazo angalieni na namna ya kuilinda pesa ctaki ipotee hii pesa
fatilia hii ya kutengeneza matunda iko vizuri alafu pia taja mkoa uelekezwe aina ya biashara kulingana na mazingira husikaVipi mkuu funguka nipo ovyo mawazo yako yanaweza kunisaidia
Itani lazimu nianze kununua vitendea kazi pesa s itaisha sass nataka biashara ambayo ni take awayUsiangalie kulinda hela ...angalia faida
Ngoja nicheki mkuu japo hapa nina mtaji wa laki mbili ndo nataka usipotee