Emma M Bai
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 223
- 126
Naomba kufahamu kama biashara ya sigara za rejareja na vocha maeneo kama stend hivi inalipa?
Wataalam naomba ufafanuzi au tujadili kwa mapana kidogo.
Nina mtaji wa shilingi laki 2 utafaa kuanzia na kama hii biashara inalpa niongeze na nini kinachoendana na biashara tajwa
Naomba kuwasilisha
NB: Kama kuna mtu mwingine anaushauri mzuri zaidi tukiachana na hiyo sigara na vocha ambayo itafaa Kwa mtaji huo nipo tayari kupokea ushauri.
Ushauri kutoka Kwa Mdau niongeze na pombe kali
°cuca
°kitoko
°Double kick
°K-vant
°vodka
°Rizla za kuhesabu
Na vitu vingine vingi ambavyo muda wote vina nunulika
Wataalam naomba ufafanuzi au tujadili kwa mapana kidogo.
Nina mtaji wa shilingi laki 2 utafaa kuanzia na kama hii biashara inalpa niongeze na nini kinachoendana na biashara tajwa
Naomba kuwasilisha
NB: Kama kuna mtu mwingine anaushauri mzuri zaidi tukiachana na hiyo sigara na vocha ambayo itafaa Kwa mtaji huo nipo tayari kupokea ushauri.
Ushauri kutoka Kwa Mdau niongeze na pombe kali
°cuca
°kitoko
°Double kick
°K-vant
°vodka
°Rizla za kuhesabu
Na vitu vingine vingi ambavyo muda wote vina nunulika