Biashara ya kuuza sigara na vocha

Biashara ya kuuza sigara na vocha

Nataka biashara ambayo kama nawekeza pesa yangu ili ispotee uzoefu wangu biashara ya maduka ya vyakula


Sambusa mkuu pesa yenyewe si naipoteza sasa hapo bado vitendea kazi
Sasa mtaji wa laki2 duka gani la vyakula?
 
sigara itakukata maana wizara ya afya anazuia uvutaji hasa ktk kipindi hiki cha korona

uza maji,juice,biskuti mixers na vocha na sigara kwa mbali..
 
Lakin mzunguko mkubwa kama upo haina shida kama unauza labda Kwa siku vocha za laki na upo sehem hulip kodi za eneo me naoma kama ndo Fursa peke yake
Biashara ya voucher mala mia yasigara!! Paketi moja ya cigara ya 4500 faida yake ni kama 1500!!vocha ili upate faida hiyo lazima uuze kama za 60,000!!!!
 
sigara itakukata maana wizara ya afya anazuia uvutaji hasa ktk kipindi hiki cha korona

uza maji,juice,biskuti mixers na vocha na sigara kwa mbali..
Lini imetangazwa kuwa sigara haziruhusiwi kipindi hiki?!! Acha kupotosha
 
Lengo langu hii pesa sitaki ipotee nataka nifanye kama naiwekeza saw a na mtu anaenunua ardhi

Nikiweka na sigara zote biashara itaenda binadamu lazima avute naweka na Tigo rusha


Karibuni Kwa mtu ambae ana biashara tofauti na hii lakin sitaki iwe na risk sana ambayo haiwez kupoteza pesa hii nataka ambayo ni ndogo ndogo kama hivyo lakin iwe muda with inatoka

Na nitajitahidi iwe masaa 24 huduma ziwepo lazima

Naomba wadau mawazo yoyote ambayo yatakuwa hayalengi kupoteza hii pesa

You can't have your cake and eat it too.


PERIOD.
 
Back
Top Bottom