Biashara ya Madawa ya Kulevya: Wafungwa wa Kitanzania Hong Kong waendelea kufunguka

Biashara ya Madawa ya Kulevya: Wafungwa wa Kitanzania Hong Kong waendelea kufunguka

inakera sana watu wanavyobeza hizi barua

tanzania hatutafikia level ya maendeleo inayostahili mpaka wananchi watakapoamka na kuhoji utendaji wa serikali na bunge

swali kwenye hizi barua;

1. it is a fact kuna watanzania wamefungwa nje ya nchi kutokana na madawa ya kulevya, je jeshi letu makini la polisi limeomba ushirikiano wa uchunguzi ikiwezekana kwenda kuwahoji hawa wafungwa na kujua wamefikaje kwenye hayo matatizo?

2. kuna drugs lords wametajwa kwenye hizi barua, je jeshi la polisi limefanya uchunguzi wa awali kujua vipato vyao ni halali au hapana kwa kuanzia tu?

kuna mambo mengi ya kiuchunguzi jeshi la polisi makini linaweza faidika na hizi barua si kuzibeza tu
 
Ndiyo maana Othmani kadai kama wako serious wawasiliane na vyombo husika huko Hong Kong. Actually, kama serikali iko serious ingeshaunda timu na kufanya uchunguzi kuanzi kwa hao waliopo gerezani huku wakishirikiana na serikali ya Hong Kong. Ni aibu kuwa na wafungwa zaidi ya 200 HK halafu serikali iko kimya kama vile hakuna kinachoendelea. So far nimeona usanii tu unaendelea hapa eti Mwakyembe anaamkia Airport sasa10 alifajiri. Huyu ni usanii wa hili ya juu. Bora angeuchuna tu kama wenzake.
 
Back
Top Bottom