MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Nilishwahi kulizungumza hili humu JF lakini washirikina wale hawakunielewa.....huko chunya exploration shanta wametenga bajeti ya kutosha kufanya utafiti mashimo ya DD yanachimbwa ya kutosha kufanya utafiti na shimo moja linaweza kwenda mpka 150M halafu wewe na 120M yako uje upate mzigo kizembe.Wachimbaji wadogo wengi wanafanya kwa kubahatisha, hawafanyi utafiti.
Madini siyo maharage ambayo unapanda sehemu na kuyaona yanavyokua. Kwenye madini, unatafuta kitu ambacho hukuweka wewe wala rafiki yako. Hivyo hatua ya kwanza ni kufanya utafiti, siyo kuchimba. Unachimba baada ya kufanya utafiti, na kujua yako wapi,, kwa kiwango gani.
Kwa unavyoamini ni lazima lakini sio kila mchimbaji animation kama yakoBro Biashara ya Madini Matambiko ni lazima Alafu usichokijua Wazungu na Wahindi Ni watu noma Sana Kwenye Hizo mambo".
Ndio maana Hata uwe kigagula kiasi gani Huwezi kuiba benki,au kuiba Madini Mgodini".
Hapana,kipenga extra Nini Mkuu sorry Kwa kuulizaWewe ni yule dogo anayekuwepo kwenye kipenga extra ?
Hizo NI ibada zao...waafrika mkapumbazwa mkajua ulozi...na uchawi...baada ya tafiti na kuwekeza mtaji wanaanza na Sala wanazoamini wao...Mbona hao wazungu na wachina nao wanafanya ulozi Migodini?
Sio kama ina kauchawi. Kwenye madini kuna uchawi balaa, wapo watu wamepoteza pesa mpk maishaAisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa Mbeya, aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa.
Huwezi amini nipo hospitali maana broo kama akili zishaanza kuwehuka, vitu anavyoongea havieleweki aisee, haamini kama kafukia milioni 120.
Nawashauri ndugu zangu wana jamiiforums hii sio biashara ya kufanya, ni kama inauchawi fulani hivi!
Poleni familia kwa hiyo changamotoNdio nimefika Leo nilipigiwa simu jana kwamba kaka yangu kalazwa sababu ya kupoteza pesa machimboni Kwa kuendesha harakati za uchimbaji Sasa bado sijapata abc sababu ndio nimefika Leo mda huu