Biashara ya madini ni kichaa. Kaka yangu kapoteza milioni 120 mwezi huu nimemkuta ameshaanza kudata

Nilishwahi kulizungumza hili humu JF lakini washirikina wale hawakunielewa.....huko chunya exploration shanta wametenga bajeti ya kutosha kufanya utafiti mashimo ya DD yanachimbwa ya kutosha kufanya utafiti na shimo moja linaweza kwenda mpka 150M halafu wewe na 120M yako uje upate mzigo kizembe.
 
Sio kama ina kauchawi. Kwenye madini kuna uchawi balaa, wapo watu wamepoteza pesa mpk maisha
 
Nitarudi!! Get well soon mpambanaji.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Kazi za wanaume hizo, kama alishaonja pesa ya madini atarudi tu. Kupoteza inatokea ila kupata ndio hua hesabu kuu.
 
Biashara yoyote ukiingia kichwa lazima likukute Jambo zito sana
 
Ndio nimefika Leo nilipigiwa simu jana kwamba kaka yangu kalazwa sababu ya kupoteza pesa machimboni Kwa kuendesha harakati za uchimbaji Sasa bado sijapata abc sababu ndio nimefika Leo mda huu
Poleni familia kwa hiyo changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…