Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

Hapana sijawahi kutumia karasha za kawaida. Ila wanaotumia ndio nimewaskia kuwa wanapata tabu kdg mawe yakiwa na maji. Labda walio na experience nazo humu watatupa details
Mawe yakiwa na maji yanaanikwa juani au yanakaangwa/yanachomwa na moto kwenye kikaango, ambacho kinatengenezwa kwa kukata pipa na kulitengeneza mfano wa sahani ya pembe nne...
 
[emoji120]
 
Mzan tu inakimbilia 11m..mie namanisha jiko la dhahabu...sio ile ya kununua huku machimboni . Its above 80_100m..maana kwa siku unaweza nunua gram zaid100...ss piga hesabu sio chini ya 23m hapo...
Mrejesho wa upatikanaji wa dhahabu ya Malinyi Misegese tafadhali, mambo yakoje?
 
Mkuu hapo kwenye kununua mawe ya bei ya chini pamenivuta. Kwa hyo jamaa alikuwa anakusanya mawe mpka kinafika kifusi anauza?
 
Mkuu hapo kwenye kununua mawe ya bei ya chini pamenivuta. Kwa hyo jamaa alikuwa anakusanya mawe mpka kinafika kifusi anauza?
Kifusi ni udongo ulitolewa dhahabu, ila hicho kifusi kinanuliwa na watu kwa ajili ya kupeleka plant ili kuozeshwa na makemikali kwa ajili ya kupata dhahabu zaidi.
 
Kifusi ni udongo ulitolewa dhahabu, ila hicho kifusi kinanuliwa na watu kwa ajili ya kupeleka plant ili kuozeshwa na makemikali kwa ajili ya kupata dhahabu zaidi.
Well basi sijamuelewa, kama umepata point ya alichokizungumza, naomba nieleweshe mkuu!
 
Nakutana na watu wa hivi wengi sana inbox, wengi wengi wengi

nimeanza ka utaratbu kagumu kdg huko inbox wanaonifata wanaelewa

mpaka nitoe muda wangu kwa mtu inbox hadi nijiridhishe nae aseee not otherwise
 
Huyo alinifuata hata Mimi inbox aliniambia Yuko German ila ni Raia wa kenya. Alinihangaisha saaana ofisi za TANZANIA INVESTMENT CENTER
 
Huyo alinifuata hata Mimi inbox aliniambia Yuko German ila ni Raia wa kenya. Alinihangaisha saaana ofisi za TANZANIA INVESTMENT CENTER
[emoji4][emoji4][emoji4] pole sana. Jamaa ni mjinga sana
 
Nakutana na watu wa hivi wengi sana inbox, wengi wengi wengi

nimeanza ka utaratbu kagumu kdg huko inbox wanaonifata wanaelewa

mpaka nitoe muda wangu kwa mtu inbox hadi nijiridhishe nae aseee not otherwise
Wanafanya hata muhitaji ahisi members wenzie wanajivuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…