Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida


Hii kuchoronga mwamba kwa kutumia compressor kwa siku unaweza choronga tundu ngapi wastani?
 
Hii kuchoronga mwamba kwa kutumia compressor kwa siku unaweza choronga tundu ngapi wastani?
Inategemea na urefu wa shimo ie ng'anda ngapi au ft ngapi
Pia inategemea na compressor inatoa upepo kiasi gani

Inategemea na ubukwa wa digger Y24 iko kawaida, Y 18 iko vizuri ila wengi hawaipendi sababu ni nzito

Inategemea uzoefu wa driller

Inategemea na ugumu wa mwamba pia


Ila sehemu nyingi Tundu 400 inaweza chukua masaa 12 au zaidi

Hapo ni mafuta, BIT, Oil, Drillers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukiwa mnunuzi tu unaeza peleka kuuza sokoni bila certificate?
 
,,, Mkuu nahitaji shule zaidi kutoka kwako
 
‘madini’ kuhusu biashara ya madini

💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
 
Vipo kaka, ulifanikiwa. Naomba mrejesho maana nataka niingie kwenye dhahabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…