mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,623
- 2,535
Ukijitoa ukahudumia duara kadhaa uwezekano wa duara moja kurudisha gharama ni mkubwa.Kuhudumia unaweza hudumia then ikala kwako...! mie nanunua dhahabu za mwalo wa kwangu..means mteja anakuja anasaga kwangu akichenjua nanunua mm dhahabu..ss kuna faulo za kufa mtu...anakuja kota mwingine anamuuliza huuu unamiuzia sh ngap?anamwambia 72000/=anamwabia mie nanunua 74[emoji23][emoji23]...!hao wanaonunua 74 wamechezea sana mizan zao..wajuvi wanakataa...!
[emoji23][emoji23][emoji23] kila kitu ni uzoefu asee..nilishawah jaribu kuiprocess mifuko yangu mwenyewe kilichotokea sikurudia tena[emoji23][emoji23] hua naishia kuiuza mifuko tu basi.