Maji Mara 1Maharage ya kijivu...
Mazuri sana huwa yanatengeneza rojo yenyewe kabla ya kuungwaShukran mkuu ya ladha nzuri?
Hayo hayo, kwa wali matamu sanaNdiyo yale ya Mbeya?
Haya ya njano japo wanasema ni mazuri ila sikupenda ladha yake, yapo tu ndani hayana kazi!!Shukran mkuu ya ladha nzuri?
Kama una freezer nunua container za plastic. Wateja lengwa ni wanafunzi wa chuo na vijana wanaoanza maisha. Hata watu wenye familia pia utawapata.
Shukran sana mkuu ngoja niangalie yanayotoka sana kwanza.maharage yanayouza sana soko la congo ni kitenge au mix, na maharage ya njano yanaitwa kigoma.
Zanzibar ,tanga, mombasa, moroco ni maharage fulani yanaitwa rose coco ndio maarufu,
halafu kuna njano ndefu ya bukoba haya yanaiva haraka nayo hupendwa pia.
nipe dili niwe supplier wako wa maharage lakini uanzie tani 100 kupanda juu..
Inategemea na mapishi, maharage ya curry beans haya taji will yai a mpaka yatoe rojo. Unatakiwa uyasikie ukiyatafunakuna njano fupi ile wanayotengenezea bia ya balimi hua inachelewa kuiva lakini wakenya ambao sio wa pwani wanaila sana.
Niliuliza wanachuo wa UDSM kama kumi hivi na waliniambia nitakuwa nimewasaidia sana na watawaarifu wenzao.Maharage ya njano.
Ishu IPO mwenye utamaduni wetu,watu hawana mazoea ya kununua vyakula vya makopo,
Mi mwenye we nilitaka kuwaletea wanaume wa dar,frozen chips,nikaona zitanidodea.
Inabidi ufanye marketing ya nguvu sana,nyumba kwa nyumba