Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
Ni ma bilionea au trilionea au milionea?!Mbona bongo kuna matajiri wengi? Inawezekana wauza mahindi nao matajiri. Mpaka wasanii uchwara na machawa ni matajiri mjini bongo
Iwe story of change.
Mpaka JUMAPILI MKUU?
Shangaa zinasaidia Nin mkuu ,labda wewe muuzaji utakuwa unajua matumizi yake[emoji23][emoji23]Aachane na biashara za mahindi na nail cutter kuna hii biashara ya shanga inalipa sana
Sawa ntakujaIwe story of change.
MnoooMara nyingi biashara za kudharau zina faida kubwa.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
HahahahaShangaa zinasaidia Nin mkuu ,labda wewe muuzaji utakuwa unajua matumizi yake[emoji23][emoji23]
Inalipa Dar au tanga??Aachane na biashara za mahindi na nail cutter kuna hii biashara ya shanga inalipa sana
Hata kwako ukilima mahindi yanaotaLabda kuuza wahindi 100 kwa siku maana upatikanaji wake ni wa kila siku tofauti na mahindi kilimo chake ni cha msimu na kwa sabubu hiyo msimu ukiisha upatikanaji wake unakuwa wa shida na gharama zake zinaongezeka.
Binadamu kama weweHayo mahindi 100 unauzia mbuzi na kuku au?
Elezea tafadhaliHata kwako ukilima mahindi yanaota
Nieleze kilimo auElezea tafadhali
Huwaga wanaulizaga anko una buku ya karibu hapo, mi huwa nawaambia nina buku ya mbali.Motivation speakers wote huwa ni matajiri ila ndio waongoza kupiga mizinga...
Wanaume WA Dar wanakula mahindi 300 Kwa sikuMkiandika hivyo. Nirahisi ingia sokoni watu 100 wanunue muhindi