Upo sahihi, lita moja tunanunua kwa 2300 then tunauza 2500,hii ni kwa almost kampuni zote except kilimanjaroKaton moja ya maji ya uhai faida ni 200 kwa Bei ya jumla.
Ngoja wengine Waje.
Mkuu jitahidi upate connection, mama yangu huwa ananunua maji ya uhai litre 2000tsh kutoka kiwandani kabisa, ila wanataka mzigo uanzie maji 200 na kuendelea.Upo sahihi, lita moja tunanunua kwa 2300 then tunauza 2500,hii ni kwa almost kampuni zote except kilimanjaro
Wanakuletea mpak ulipo ndan ya DSM ama unafata kiwandani na Gari lako , ?Mkuu jitahidi upate connection, mama yangu huwa ananunua maji ya uhai litre 2000tsh kutoka kiwandani kabisa, ila wanataka mzigo uanzie maji 200 na kuendelea.
Sio litre tu hata ya nusu, robo, na 6litre bei inakua imepungua.
Unafata kiwandani mwenyewe na gari lakoWanakuletea mpak ulipo ndan ya DSM ama unafata kiwandani na Gari lako , ?
Cotton = PambaOwkey Sawa , ko minimum ni cotton 200 au chupa 200
Bado weweMadanga yameisha
Katon 200Owkey Sawa , ko minimum ni cotton 200 au chupa 200
Bado wewe
Kwa uandishi huo bado hajawa na sifa ya kuwa danga. Ngoja kwanza auze maji labda lugha itanyooka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba ashindwe yeye tu mzee wa Cotton
Wanakuletea mpaka dukani kwako mkuu, ni ndani ya dsm nafikiri, sijafahamu kama wanatoka na nje ya mkoa.Wanakuletea mpak ulipo ndan ya DSM ama unafata kiwandani na Gari lako , ?
Hapana kaka, wanatuletea na gari zao kabisa.Unafata kiwandani mwenyewe na gari lako
Kaka ulifanikiwa kuwapata?Daah mkuu hao nawahitaj sana