ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
- Thread starter
-
- #41
Uko Moro au Dodoma?
Turudi kwenye biashara: Huyo unayempa umeshafikiria kwamba anaweza kushindwa kuiendesha?
Biashara kama hiyo inahitaji uwepo wako wewe kwa asilimia zote. Lifikirie hilo.
Hapana nilikosea,ni 1000 kwa siku
Start up business zinahitaji uwepo wa muhusika kwa kiasi kikubwa sana.
Mpaka iweze kujiendesha na ujue ABC's zote za hiyo biashara ndo unaweza kumwachia mtu.
shukraan san mkuu kwa ushaur wako...nitalfanyia kaz
Sent using [Samsung galaxy s10]
Kila la kheri.
Halafu naona unatumia Galaxy S10, inabidi uisukume hii uongezee mtaji. (natania).
Dhaaa kweli adui yako mwombee njaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu fungua.
Biashara ikikushinda ukiifunga nitafute ninunue hizo sufuria na jiko la gas.
Dhaaa kweli adui yako mwombee njaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
god is good
Waoo goodHapana mkuu.
Nilikuwa nashindwa kuandika kwa kirefu nimeandika hivyo kumuonyesha kuwa ni ngumu.
Naongea kwa experience nilishafanya hiyo biashara na kwa utararibu huo huo.
Ni biashara nzuri sana lakini inahitaji muda wako sana na nguvu zako mwenye biashara na si kumpa mtu.
Nimekulia na kusomeshwa kwa chakula mie.
That was our main source of income.
Till leo ni dream business yangu.
Mambo tu hayajakaa vile navyotaka.
Ushauri wangu hana muda aachane nayo hiyo laki 7 itaenda na maji.
Anang'ang'ania poa afungue tu akishindwa mie ataniuzia jiko la gas na masufuria.
ukileta wenzio wawili na wao wakaleta wenzao wawili basi kila siku utakuw unapata 1m
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]eti namwachia mtu afu kila siku ntakuwa napitia kuchukua ten
waulize wanaomiliki bodaboda kama ashawahi chukua ten kila sku kwa mwezi mzma
Sent using Jamii Forums mobile app