ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
- Thread starter
- #41
shukraan sana mkuu, hata mm nlitamani iwe hivyo kwamba kuwapo na uwepo wangu kutaleta return nzuri na kila kitu kitaenda vizuri..Hapa tatizo linakuja katika muda, mana mda mwingi nitautumia sana masomoni
Sent using [Samsung galaxy s10]
Uko Moro au Dodoma?
Turudi kwenye biashara: Huyo unayempa umeshafikiria kwamba anaweza kushindwa kuiendesha?
Biashara kama hiyo inahitaji uwepo wako wewe kwa asilimia zote. Lifikirie hilo.
Sent using [Samsung galaxy s10]