CHESEA INGINE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 200
- 48
Pamoja na ushauri mzuri uliotolewa, nashauri aende kwenye kutengenza vyakula vya mifugo haswa kuku na ng'ombe. hiyo itamlipa vizuri kama ni hapa Dar.
Maana hawa akina Azam na Azania itakuwa vigumu kushindana nao na wanaendelea kuwekeza tu.
Naona kwenye mifugo ushindani sio mkubwa! Biashara ukae mwenyewe, ukimweka ndugu yako au shemeji umeshashindwa kabla hujaanza!
Maana hawa akina Azam na Azania itakuwa vigumu kushindana nao na wanaendelea kuwekeza tu.
Naona kwenye mifugo ushindani sio mkubwa! Biashara ukae mwenyewe, ukimweka ndugu yako au shemeji umeshashindwa kabla hujaanza!