MwanaIFM
Member
- Nov 20, 2010
- 42
- 27
Asante nashukuru sana ninaomba unisaidie kwenye mahitaji ya vibali je nako ni leseni ya biashara na tin number au mpaka uwe umefungua kampuni? na je hiyo mota ina maana kama unasaga huwezi kukoboa? NILIWAHI ULIZIA SABA SABA niliambiwa kinu cha kusaga milion mbili na cha kukoboa ilikuwa tatu HAPO SIJAJUA MOTA IPO NJE AU naomba msaada wako mkuu au hata ushauri cost za kuiset mpaka mashine ianze kufanya kazi
Ndio kuitumia kwa muundo niliwekwa Mimi unafanya one thing at a time lakini kumbuka mota ya kusaga ni kubwa kuliko ile ya kukoboa
Bei hizo ziko juu sana lakini haswa tumia za Sido kwa vinu mota ndo uingoe Dukani
sijajua unataka gharama za mashine yenye nini na nini. Kuna umeme hapo? 3Phase? Ongezea nyama nikuelewe mkuu