Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

Hongera sana, Kuna mtu ameshauri hapo kuhusu kuwa na mtu wa Marketing. Napenda pia kushauri kuwa na watu wa marketing kwa kila mkoa kwa kuanzia angalau DSM, PWANI, sijajua kwa huko mikoani.. Ambao kila kwanza utawapa jukumu la kutengeneza Market Plan iliyoshiba kwa kuelezea na vitendo kuanza haraka juu ya vyanzo vya masoko...
hili wazo nimelipenda sana hebu jamani wana jf tulitafakari
 
Habari za jioni wakuu

Ninaombeni mawazo yenu. Niko kwenye mchakato wa kuanzisha kiwanda rasmi cha kusaga na kufungangasha unga wa nafaka mbalimbali. Nina mashine ya kusaga mahindi mkoani Dodoma na nilikua nafunga na kuuza unga kienyeji vijijini. Sasa nimeamua kuifanya iwe rasmi kabisa na Mungu akisaidia January 2016 bidhaa zangu zitakua sokoni. Niliyofanya mpaka sasa?
1. Mashine ya kukoboa na kusaga
Tayari ninayo na inatoa huduma

2. Mashine ya kupima, kufungasha na kufunga niliagiza kutoka China na iko kwenye hatua za mwisho za kuwa installed

3.Nimeshaanza mchakato wa kupata vifungashio kwenye kiwanda kimoja Bagamoyo. Mifuko ya kilo 5, 10 na 25 yenye nembo.

4.Stock ya mahindi ninayo karibia tani 10

5.Niko kwenye hatua za mwisho za kupata kibali cha tbs.

Kwa wazoefu wa biashara hii naomba kama kuna mwenye mchango wa ziada tushauriane mpaka hapo nilipofikia. Na kama kuna kitu kingine chochote kinahitajika.Tunaweza wasiliana hapa kwa michango au anymore business ideas/patnership na masoko zaidi.Au hata kwa PM

Shukran.
Mjasiriamali
Naomba kujua updates za biashara yako
 
Hi mwana ifm naomba nije kwako unipe mwongozo mi nimemaliza banda na machine zipo ila sijui pa kununua mahindi lakin pi a na Fundi wa umeme.. 0784800989
Hi.. naamini mpaka sasa biashara umeshaianza, naomba mwongozo upatikanaji wa hizo mashine na gharama zake tafadhali,..
 
Habari wana JF

Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo cha sembe na dona je ninahitajika vibali gani au niweke kwanza majengo na mashine.

Je mtaji kiasi gani?

Location ni Kibaha msaada zaidi sifahamu chochote nabje raw materials nitapata wapi?
 
Ukifanikisha shuguli zote za ufunguzi nakuanza operation nitafute niwe nakuletea MAHINDI hapo kibaha kwa being nafuu.
Habari wana JF
Nahitaji KUANZISHA KIWANDA KIDOGO cha SEMBE NA DONA JE NINAHITAJIKA VIBALI GANI AU NIWEKE KWANZA MAJENGO NA MASHINE. JE MTAJI KIASI GANI? LOCATION NI KIBAHA MSAADA ZAIDI SIFAHAMU CHOCHOTE NABJE RAW MATERIALS NITAPATA WAPI??
 
Habari wana JF
Nahitaji KUANZISHA KIWANDA KIDOGO cha SEMBE NA DONA JE NINAHITAJIKA VIBALI GANI AU NIWEKE KWANZA MAJENGO NA MASHINE. JE MTAJI KIASI GANI? LOCATION NI KIBAHA MSAADA ZAIDI SIFAHAMU CHOCHOTE NABJE RAW MATERIALS NITAPATA WAPI??
Nenda SIDO
Utapata mashine na ushauri kuhusu vibari n.k
 
Wote ambao mna wazo kama hili niwashauri tu Muende SIDO ya Moshi Mjini wale ndo mabingwa wa mashine hizi za kusaga na kukoboa complete na pia mota zao sio hizi za Kichina za kufa kila mara Pale ukichukua utapiga kazi hadi utasahau kabisa. Bei zao sina hakika kwa wakati huu zimefika ngapi ila inarange kati ya 3.5 to 5M nashauri mtafute mawasiliano na yeyote pale kufanikisha hilo. zingatia ushauri huu then thanks me letter.
 
Wote ambao mna wazo kama hili niwashauri tu Muende SIDO ya Moshi Mjini wale ndo mabingwa wa mashine hizi za kusaga na kukoboa complete na pia mota zao sio hizi za Kichina za kufa kila mara Pale ukichukua utapiga kazi hadi utasahau kabisa. Bei zao sina hakika kwa wakati huu zimefika ngapi ila inarange kati ya 3.5 to 5M nashauri mtafute mawasiliano na yeyote pale kufanikisha hilo. zingatia ushauri huu then thanks me letter.
Vipi kuhusu SIDO ya DSM?
 
hivi hawa sido wana matatizo gani?,mbona hawajitangazi?,maana nina hakika wangekuwa wanajitangaza sasa hivi wangekuwa ni kampuni kubwa mithili ya Google au Apple
 
Ukikamilisha mitambo,nitafute kuhusu kukomboa na kusanga mkuu. nitakusaidia pia masoko ya mahindi kwa bei nafuu.
 
Back
Top Bottom