CHESEA INGINE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 200
- 48
<br />
<br />
Asante sana wana JF nazidi kupata mawazo mazuri sana la kampuni ni lamaana sana,kwa hiyo nitaweza kuwa na packaging zenye nembo ya kampuni yangu na kusambaza sehemu mbalimbali mjini,hapo nimekupata.Suala la kutafuta masoko kwenye taasisi na mavyuo nalikubali na kushukuru kwa ushauri mzuri sana ntaufanyia kazi.
<br />
<br />
Asante sana wana JF nazidi kupata mawazo mazuri sana la kampuni ni lamaana sana,kwa hiyo nitaweza kuwa na packaging zenye nembo ya kampuni yangu na kusambaza sehemu mbalimbali mjini,hapo nimekupata.Suala la kutafuta masoko kwenye taasisi na mavyuo nalikubali na kushukuru kwa ushauri mzuri sana ntaufanyia kazi.
<br />Pamoja na ushauri mzuri uliotolewa, nashauri aende kwenye kutengenza vyakula vya mifugo haswa kuku na ng'ombe. hiyo itamlipa vizuri kama ni hapa Dar. Maana hawa akina Azam na Azania itakuwa vigumu kushindana nao na wanaendelea kuwekeza tu. Naona kwenye mifugo ushindani sio mkubwa! Biashara ukae mwenyewe, ukimweka ndugu yako au shemeji umeshashindwa kabla hujaanza!
<br />Nafikiri fanya research ya kutosha kabla ya kujiingiza kwenye biashara hii ikiwa ni pmj kuangalia eneo ambalo unahitaji kuinvest,upatikanaji wa raw material(mahindi), wateja,idadi ya washidani kama wapo, bei yao,uwezo wa wateja(economic base) sifa ya mjasiriamal ni kutake risk ,usiogope hasara la sivyo utakufa presha bure once unapopata hasara.mkuu ubarikiwe sönga mbele.
<br />
<br />
Ni kweli hawa wakina Azam wamekubuhu hiyo ni challenge kubwa,kuhusu kutengeneza vyakula vya mifugo nimekupata,licha ya kuuza itanisaidia na mimi pia manake ndio nimeanza ufugaji wa kuku kwa hiyo kwa upande wa vyakula itakua hainipi tabu.
Wana JF wataalamu wa biashara na wale walioshawahi kuifanya biashara ya mashine ya kusaga naomba mnijuze inalipa?au itakua ni kupaka hewa rangi?na mashine ya kusaga na kukoboa zinapatikana wapi na bei yake ni shilingi ngapi?Na umeme wake ni wa phase ngapi?
Nina kasehemu kangu Goba nimejenga fremu za biashara kwa mbele nataka niweke mashine ya kusaga nyuma,naomba mnijuze kwa mwenye experience au idea.Natanguliza thanks.
TANESCO watakufungia mita mpya ambayo readings zake ni kule HQ yao, hivyo you will get the bills from HQ no kuchakachua, ni kama LUKU. Ongea na TANESCO!!!!!!!!!
Wengi tumeelimika na eimu hii mliyoitoa, nimekopi posti zote nyeti katika hii thread ili zinisaidie kupanga vema biashara hii. Asanteni sana kwa ushauri huo mwanana.
Wana JF wataalamu wa biashara na wale walioshawahi kuifanya biashara ya mashine ya kusaga naomba mnijuze inalipa?au itakua ni kupaka hewa rangi?na mashine ya kusaga na kukoboa zinapatikana wapi na bei yake ni shilingi ngapi?Na umeme wake ni wa phase ngapi?
Nina kasehemu kangu Goba nimejenga fremu za biashara kwa mbele nataka niweke mashine ya kusaga nyuma,naomba mnijuze kwa mwenye experience au idea.Natanguliza thanks.
Wengi tumeelimika na eimu hii mliyoitoa, nimekopi posti zote nyeti katika hii thread ili zinisaidie kupanga vema biashara hii. Asanteni sana kwa ushauri huo mwanana.
1. Mashine ya kusaga unga wako wewe ili uweke kwenye mifuko uuze au unasagia watu wanalipia huduma hiyo?!!
2. Angalia soko na wanunuzi endelevu au hapo unapoiweka tabia ya watu unaoishi nao je, ni wa kipato cha kati au vipi, watu wengi kwa sasa wananunua unga dukani kuliko kubeba mahindi kwenda kusaga, angalia sehemu unayokaa na wateja unaowalenga.
3. Kukutoa au kutokukutoa inategemea na malengo yako, mtaji, mipango kazi, uelewa wako wa soko, timu yako utayofanya nayo kazi, aina za mashine utazotumia, usimamizi wako n.k. . . .Biashara inataka nidhamu ya hali ya juu sana nabkubadilika kutokana na soko na washindani wako.
4. Umeamua kuweka chumba katika nyumba hiyo hiyo au unapoishi umejenga vhumba pembeni maalum kwa kazi hiyo??!!. Kusaga ni kazi ya vumbi na ina kelele, sio salama sana kuweka katika nyumba hiyohiyo. . nadhani hata maandalizi ya msingi wa mashine ni tofauti na nyumba ya kuishi
Kila la kheri. . . .
Kama hauna msaada wa kumpa mtoa mada ungesepa tu badala ya kumkashifu! Sasa wewe nyumbu ndiyo una akili kuliko ccm?mkuu siku nyingine, kabla y kuweka uzi, jaribu kutafuta kwanza nyuz za nyuma, utapata watu wameshajadili hayo mambo. so usiwe na akiri kama za ccm