Biashara ya matunda inalipa ukiijulia

Biashara ya matunda inalipa ukiijulia

Bullshit INSPIRATION

Mkuuu biashara hizo za vitabuni kila biashara inalipa... ila kwa ground mambo huwa ni tofauti kabisa

Weka facts na sio hadithi za vijiweni
 
We do this shit
IMG_20210625_124137.jpg
IMG_20210628_121047.jpg
IMG_20210628_122152.jpg
 
Biashara kuizungumza mitandaoni au kibarazani ni vitu viwili tafauti na uhalisia, Changamoto ni nyingi sana
 
Laki mbili hapana; ni uongo wa kiwango cha rami, posta kuna wanaouza hayo matunda, wanatangeneza 50-60 per day kama Profit, japo hawakusema wanaweka sh ngapi
 
Bullshit INSPIRATION

Mkuuu biashara hizo za vitabuni kila biashara inalipa... ila kwa ground mambo huwa ni tofauti kabisa

Weka facts na sio hadithi za vijiweni
Ila nawe mbona unapita mule mule,no fact za unalolisema,nadhani ingependeza zaidi Kama ungemkosoa kwa facts nasi tukazijengea solutions hzo changamoto,huo ndio uungwana kusema 2 haiwezekani na hutoi options zako hiyo mhh
 
Back
Top Bottom