Biashara ya matunda

Biashara ya matunda

Moshi wa Kumbi

Senior Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
165
Reaction score
100
Habari za wakati huu wakuu.
Katika pita pita zangu mitandaoni. Nimekutana na hii machine.

1565461318707.jpg


Haraka haraka likanijia wazo. Je, kama nitaweza kuhifazi matunda kwa kutumia mifuko ya plastik na kuweza kibana vizur kwa machine hiyo.
Nadhani tuna matunda yapo mengi ktk nchi yetu na hii ni fursa ya kujitoa kiuchumi.

Swali langu liko hapa je inawezekana kuhifadhi matunda kwa njia hii?

Na je? Kama itawezekana nitumie kitu gani ili matunda hayo yachukuwe muda kabla ya kuharibika.
 
Iyo mashine ni changamoto kidogo inahitaji lailon zake sio hizi za mtaani halafu pili kwenye ishu ya matunda tumia lailon zile kubwa zinazofiti kabisa.
 
Kwanza fanya utafiti ni matunda gani yanafaa kuhifadhiwa kwa kufungwa na nylon. Mengine ukiyafunga ndio unayaharibu.

Pili unakuwa unelenga soko gani? Na je hizo package hazitaongeza bei ya bidhaa kuweza kupigwa teke na wauzaji wasiofanya packaging?
 
Mkuu target yangu ni matunda kama malimau kwa sababu nimeona kuna soko kubwa kwa matunda haya kwa ku supply katika mahotel. Kuhusu bei naamini haitopanda sana kwani nitakua natoa shambani kwangu na ku supply hata super market
Kwanza fanya utafiti ni matunda gani yanafaa kuhifadhiwa kwa kufungwa na nylon. Mengine ukiyafunga ndio unayaharibu.

Pili unakuwa unelenga soko gani? Na je hizo package hazitaongeza bei ya bidhaa kuweza kupigwa teke na wauzaji wasiofanya packaging
 
Back
Top Bottom