aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Labda anajua watu Milioni 7 wako kwenye uwanja anawapitishia hayo mayaiKwahiyo utaanza kuuza mayai yako toka kigamboni hadi mloganzila kuwafikia hao mil7?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda anajua watu Milioni 7 wako kwenye uwanja anawapitishia hayo mayaiKwahiyo utaanza kuuza mayai yako toka kigamboni hadi mloganzila kuwafikia hao mil7?
Kama una mahali pa kuuzia hiyo ni biashara nzuri...Wakuu nataka niache aibu nianze kuuza moyai mjini.
Trei 1 ni 6500. Nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000, tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne, nitakuwa na faida ya Tsh 34000 na hio ni siku moja.
Nikiuza mwezi mzima nitakuwa na tsh 34000 ×30 =1020000 hapo nikitoa gharama za mkaa, maji, chumvi pilipili tuseme 50000 kwa hio nitabakia na tsh 970000.
Naombeni ushauri ni kipi nizingatie nisije kufeli.