Udart
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 398
- 586
Salute, mwezi wa pili nataka nijaribu kufanya biashara ya mayai ya kienyeji kutoka Singida hivyo kwa wazoefu wa hizi mambo kule Singida vijijini bei za tray za mayai zinauzwaje na changamoto zipi nijiandae nazo asanteni.
.
Sent using Jamii Forums mobile app
.
Sent using Jamii Forums mobile app