Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Natumai nyote ni wazima , nipo Zanzibar Nina mil 5 cash nahitaji kwenda Morogoro kwa ajili ya kujihusisha na ununuaji wa mazao kwa jumla kisha kuyahifadhi kwenye maghala kwa ajili ya kuuza baadae kulingana na mabadikko ya bei.
Kwa wenye uzoefu na hii kitu naomba kujua changamoto zake
Kwa wenye uzoefu na hii kitu naomba kujua changamoto zake