Muxt
Member
- Jun 25, 2022
- 43
- 60
Wakuu kwema!!
Leo naomba ushauri humu jukwaani Nipo interested sana na biashara ya kuchana mbao na kuziuza.
Kama Kuna mwanajamii yeyote anataarifa kuhusu hii biashara naomba asheee hapa
Vitu muhimu navyotaka kujua
1. Bei ya chainsaw
2. Bei za miti
3. Bei za wachananji/fundi
4.Bei za mbao zenyewe kwa aina zake
5 Biashara hii inaenda kwa maana uwezekano wa faida upo??
Ahsanteni natanguliza shukuran 🙏
Leo naomba ushauri humu jukwaani Nipo interested sana na biashara ya kuchana mbao na kuziuza.
Kama Kuna mwanajamii yeyote anataarifa kuhusu hii biashara naomba asheee hapa
Vitu muhimu navyotaka kujua
1. Bei ya chainsaw
2. Bei za miti
3. Bei za wachananji/fundi
4.Bei za mbao zenyewe kwa aina zake
5 Biashara hii inaenda kwa maana uwezekano wa faida upo??
Ahsanteni natanguliza shukuran 🙏