Habari wana JF,
Kama vijana tunapata changamoto nyingi katika kupambana na maisha yetu ya kila siku, na baadhi yetu tukiwa tunajiuliza tutatoka vipi?
Kwani biashara nazo zimekua shida kwani baadhi yetu tumekua tukidhani tunahitaji mtaji mkubwa mnoo bila ya kujua si lazima uwe na mtaji wa kiasi hicho, kwa mfano mimi nafanya biashara ya kuuza flash na memory card ambapo nimejikuta nikiwapa ajira vijana wenzangu japo sio fixed salary ila hawezi kosa elf 10 kwa siku.
Kwani mambo ya kununua vitu mtandaoni imerahisha kupata bidhaa kwa bei nafuu kikubwa ue muaminifu ili uweze kufanya biashara ambazo ofisi unakua ni wewe mwenyewe na si jengo:
Na kama haujui basi fursa ya kuanza now ni hii!!., mimi nauza flashi kwa rejareja na jumla na bei ni kama zifuatazo::
FLASH::
128GB=(JUMLA 14000/=);(REJA 18000/=)
256GB=(JUMLA 17000/=);(REJA 28000/=)
512GB=(JUMLA 21000/=);(REJA 38000/=)
1TB=(JUMLA 28000/=);(REJA 48000/=)
2TB=(JUMLA 33000/=);(REJA 58000/=)
MEMORY::
64GB=(JUMLA 12000/=);(REJA 17000/=)
128GB=(JUMLA 13000/=);(REJA 18000/=)
256GB(JUMLA 16000/=);(REJA 25000/=)
512GB(JUMLA 19000/=);(REJA 35000/=)
For more info::
WhatsApp/call
0735103810
0757103810
NB: Si kila fursa ni utapeli japo sio ujinga kuwa curios.