Wakuu, mbona nyie mnaongea bei rahisi hivyo za Flash! Mbona mtaani wanatuuzia bei kubwa? Juzi tu haa nimenunua Flash Gb 32 waliniambia Elfu 30...Bahati nzuri nilikuwa na Elfu 20, nikawaambia ndo niliyonayo...yani hapo ni baada ya kubembeleza na kukaribia kuondoka.Si kweli kwamba Unauza bei ile ile ya 16na32gb Mkuu, 16 GB ni 6500-6200 ,na 32gbni 7000-7500 Kwa jumla,halafu ujue hii biashara brand ya flash Au memory card inamata Sana sokoni.
Imation ndio brand ambayo ina aminika
Reja reja Lazima wakubamize Mkuu, hizo bei ni zile ambazo nauza kwa Wenye maduka kkoo ili na wao wauze jumla.Wakuu, mbona nyie mnaongea bei rahisi hivyo za Flash! Mbona mtaani wanatuuzia bei kubwa? Juzi tu haa nimenunua Flash Gb 32 waliniambia Elfu 30...Bahati nzuri nilikuwa na Elfu 20, nikawaambia ndo niliyonayo...yani hapo ni baada ya kubembeleza na kukaribia kuondoka.
Duh! Kweli noma sana.Reja reja Lazima wakubamize Mkuu, hizo bei ni zile ambazo nauza kwa Wenye maduka kkoo ili na wao wauze jumla.
Kwa mfano hiyo GB 32 huyo aliyekuuzia kanunua 11-12000 Kama ni kariakoo
Mtoa Uzi bado upo??Habari wana JF,
Kama vijana tunapata changamoto nyingi katika kupambana na maisha yetu ya kila siku, na baadhi yetu tukiwa tunajiuliza tutatoka vipi?
Kwani biashara nazo zimekua shida kwani baadhi yetu tumekua tukidhani tunahitaji mtaji mkubwa mnoo bila ya kujua si lazima uwe na mtaji wa kiasi hicho, kwa mfano mimi nafanya biashara ya kuuza flash na memory card ambapo nimejikuta nikiwapa ajira vijana wenzangu japo sio fixed salary ila hawezi kosa elf 10 kwa siku.
Kwani mambo ya kununua vitu mtandaoni imerahisha kupata bidhaa kwa bei nafuu kikubwa ue muaminifu ili uweze kufanya biashara ambazo ofisi unakua ni wewe mwenyewe na si jengo:
Na kama haujui basi fursa ya kuanza now ni hii!!., mimi nauza flashi kwa rejareja na jumla na bei ni kama zifuatazo::
FLASH::
128GB=(JUMLA 14000/=);(REJA 18000/=)
256GB=(JUMLA 17000/=);(REJA 28000/=)
512GB=(JUMLA 21000/=);(REJA 38000/=)
1TB=(JUMLA 28000/=);(REJA 48000/=)
2TB=(JUMLA 33000/=);(REJA 58000/=)
MEMORY::
64GB=(JUMLA 12000/=);(REJA 17000/=)
128GB=(JUMLA 13000/=);(REJA 18000/=)
256GB(JUMLA 16000/=);(REJA 25000/=)
512GB(JUMLA 19000/=);(REJA 35000/=)
For more info::
WhatsApp/call
0735103810
0757103810
NB: Si kila fursa ni utapeli japo sio ujinga kuwa curios.
Haiwez tokea io bro. Chama kubwa ilo mzeeMtoa Uzi bado upo??
Kama ni utapeli basi chama la blues ndio umetuvua nguo
Mkuu upo mkoa gani, sehemu gani
Mapema Kufanya nini?Mbona mapema[emoji23]
GB 16 mnauza bei gani kwa sasa ?.Reja reja Lazima wakubamize Mkuu, hizo bei ni zile ambazo nauza kwa Wenye maduka kkoo ili na wao wauze jumla.
Kwa mfano hiyo GB 32 huyo aliyekuuzia kanunua 11-12000 Kama ni kariakoo
GB 16 mnauza bei gani kwa sasa?.Ningependa toa shukrani kwa wote wanao chukua mzigo toka kwangu na ningependa toa samahan kwa wale ambao walitoa oder na hawakubahatika kupata na wengine nikiwatumia picha za mzigo ulobaki uwa wanasema hawaitaji aina hio, bas km ukiwa unaitaji mzigo plz plz tuma sms/WhatsApp ukieleza unaitaji mzigo kiasi gani , ukubwa(gbs) na kampuni unayoitaji ili iwe rahis kwangu kujua exactly idadi ya mzigo unaiitaji kusambazwa but km ukinipigia tu ukisema unataka bila ku specify itakua shida mm kujua demand na kiasi gn ni supply kwako.. shukran sana[emoji120][emoji120]
6500 kuanzia 50pcsGB 16 mnauza bei gani kwa sasa ?.