Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Fungua stationery achana na huo upuuzi, au Fungua duka la nguo hapo upige hela, vile vile unaweza fungua mgahawa achana na hizo biashara za kitoto.
Post zako nyingi nimeona unawahamasisha watu wakimbie waende maporoni kutafuta mipunga ! Kaka sio kila mtu anaweza kazi hizo za mateso . Kuna biashara zingine unatumia tu akili kuteka akili za watu wakuletee pesa umemaliza , huitaji kuhangaika porini na magunia ya mpunga !
 
Unauita upuuzi kwa kigezo kipi kaka ? Tatz unakariri biashara zile zile ambazo watu wameshsarundikana , jaribu kuwa creative ndg yangu.
Ukishakuwa creative huna haja tena ya maoni ya watu, kwani unaotaka maoni kwao labda hawajafikia level yako. We endelea na huo ucreative kama uko serious.
 
Ushaur mzur mkuu . Una logic .
 
Chuo kinavyobana hiyo time ya kucheza wataitolea wap?
 
Alaf nyie mods wa jf tuheshimiane , mnajua nawekeza tsh ngap kwenye hii biashara mpk mnabadilisha post yangu mnasema ni kibanda? Mnajua hata sehm niliyopanga kufungua ina size gan na hali gani?Acheni dharau na kukariri !
Ha ha habhabh ha ha ha ha ha ha ha ha h
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Q...............e!!!!

ebhana ume tisha mdau
 
Poor Mechanism. tafuta Kingine Kaka
 
Nimekwambia ukanunue mpunga?
 
Chief, unaposema nkushauri sitoweza maana hapo hata sipajui palivyo, nimekujua hio biashara mbaya kwa aina ya watu uliolenga chuo video game? Mimi nimepita chuo sijaona hayo, na karibu nliokuwa nao asilimia 99 hakuna hicho unachosema, magame kama hayo ni ya watoto tena palipochangamka utapiga pesa sana.

Idea za ujasiriamali utazipata kupitia unapoishi, wewe unapenda nini changamoto ila trust me go and redo the reseach you will come up with the right idea ya uwekezaji
Nishaur mkuu niwekeze wap
 
Nashkuru kwa ushauri mkuu, uko vizuri.
 
Haha mkuuu wazoo lakoo zurii iyo biashara kwa mawazo yangu funguaa mtaaani, penye mzunguko wa watu, karibu na mabanda ya mipira kuwe na mchanganyikooo tuu wa watu rikaa zote, utapiga pesa, utakatishwa tamaa lakini iyo biashara iko powaa mimi nilitaka kufungua na rafiki yangu lakini pesa ikawa tatizo.
 
Kama piaa kuna mtu anajua connection yoyote ya kaziiii ani pm jamani mimi ni muhanga natafuta pakuanzia, kijana badoo kazi yoyote iwe halalii tu, msaada wenu niko Dar.
 
Mkuu.Nimecheza Sana Games Zako Ruaha Kilombero,hongera!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…