Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Nafanya hii biashara na dream yangu ni kuwa na center za kutosha sababu binafsi Napenda Sana games ni nzuri Ukifanya kwa hobby Usitegemee faida mara moja inachukua muda mara pad mbovu,mara flash imeibiwa nk but Ukiweka sehemu nzuri Unapiga hela.
Hahhaha mkuu umenifurahisha. Hakuna huruma mbele ya pesa halali japo hii inanusu halali nusu haramu. Mm pia najipanga kufungua maeneo flan karibu na shule na sitajali kelele zozote kwakweli
Mtoto kama hana akili hana akili,nenda kwenye shule za international watoto wanacheza michezo kibao, computer games, playstation, tatizo watoto wenu uswahilini wana ulimbukeni navyo,na sio wanaotooka shule ndo wanaenda game, wapo wanaoenda mabondeni kucheza kamali, wapo wanaoenda kwenye mabanda ya picha, pooltable, na kuna ambao wenye akili mbovu kama wewe wanaosema huo mchezo ni kamali.
Mkuu hizi cypto unaweza nielekeza namna ya kuzichimba?Siku hizi wachimba cryptocurrency wamepandisha sana bei za Gpu, ila pc unakuwa na choice nyingi sana ya games na quality inakuwa kubwa kushinda console.
Kwa njia rahisi zaidi hii tutorial nzuri ina involve mambo matatu tu.Mkuu hizi cypto unaweza nielekeza namna ya kuzichimba?
Siku hizi wachimba cryptocurrency wamepandisha sana bei za Gpu, ila pc unakuwa na choice nyingi sana ya games na quality inakuwa kubwa kushinda console.
Naomba unisaidie taarifa updated ya wazo lako ulilochangia 2017 la kichezesha games kwa PC ambayo ulikadiria gharama inafika 650K, Kwa sasa hivi gharama kwa desktop yenye monitor kuchezesha FIFA 19 unaweza kutoka ngap mkuu.Siku hizi wachimba cryptocurrency wamepandisha sana bei za Gpu, ila pc unakuwa na choice nyingi sana ya games na quality inakuwa kubwa kushinda console.
Kuna jamaa mmoja alifungua hii biashara karibu na shule huko Arusha, kumbe wazazi walikuwa hawapendi kutokana na madogo wanatoroka shule kuja kwake. Ilifika mbali wakaanza hadi udokozi nyumbani, jamaa akaundiwa zengwe anaonyesha video za ngono hivyo anaharibu watoto. Huwezi amini polisi walimfukuzisha jamaa lile eneo na vitendea kazi akaviacha mle mle kwenye fremu ya biashara.Hio biashara uwe karibu na sehemu yenye wanafunzi, mfano jirani na shule utapiga hela.
Tumia flashWakuu mimi nina ps2 nafaanya biashara tatizo cd hazichezi nadhani lens ndo tatizo msaada kwa anaejua kurekebisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
400k mpaka 500k bila kutumia dedicated graphics, hii ni kutumia intel hd 530 am 630 zilizopo kwenye 6th/7th gen ya processor za intel. ila uhakika zaidi ni 600k mpaka 700k kwa kuongezea Nvidia 1030 hapo. ukiongeza budget kuna vr games siku hizi pia, sema gpu itabidi upande kidogo angalau 1650 na utahitaji miwani ya mixed reality.Naomba unisaidie taarifa updated ya wazo lako ulilochangia 2017 la kichezesha games kwa PC ambayo ulikadiria gharama inafika 650K, Kwa sasa hivi gharama kwa desktop yenye monitor kuchezesha FIFA 19 unaweza kutoka ngap mkuu.
400k mpaka 500k bila kutumia dedicated graphics, hii ni kutumia intel hd 530 am 630 zilizopo kwenye 6th/7th gen ya processor za intel. ila uhakika zaidi ni 600k mpaka 700k kwa kuongezea Nvidia 1030 hapo. ukiongeza budget kuna vr games siku hizi pia, sema gpu itabidi upande kidogo angalau 1650 na utahitaji miwani ya mixed reality.
Inakuwa kama hiviHii Miwani ikoje?
Na mkononi au mtumba ps3 naweza pata kwa ngapi mkuu.Mchanganuo wa mtaji wa biashara ya gaming centre iwapo ofisi itafunguliwa kila siku asubuhi mpaka jioni,
Ni muhimu kujua ya kwamba makadirio haya nimefanya kwa dhana ya kwamba matumizi yatakuwa makubwa sana na mapato yatakuwa ya kawaida sana
PS3 tatu 400,000 x 3 = 1,200,000
CD tatu (FIFA 18) 100000 x 3 = 300,000
TV tatu 500,000 x 3 = 1,500,000
Stabilizer 100,000
Meza na viti 200,000
Leseni 100,000
Chumba miez minne 100,000 x 3 = 400,000
gharama nyingine mfano, extension, tangazo la biashara n.k 100,000
JUMLA YA MTAJI 3,900,000
Faida = mapato - matumizi
MAPATO KILA MWEZI
Masaa 6 * tv 3 * 2,000 kwa saa * siku 30 = 1,080,000
TOA: MATUMIZI KILA MWEZI
Mshahara wa muhudumu 100,000
matumizi ya mhudumu(chakula,vocha,usafiri) 100,000
tra + ulinzi 100,000
umeme+kubadilisha pads mbovu 100,000
savings ya kodi ya pango 100,000
Matumizi megine 80,000
JUMLA YA MATUMIZI 580,000
Tutafute Faida sasa
Mapato ya Mwezi 1,080,000
Matumizi ya mwezi 580,000
Faida Kwa Mwezi 500,000
Hela yako uliyoweka mtaji itarudi ndani ya miezi 8 tu na utaanza kupata faida
Dah! Hapa naona ni heri kuchezesha tu ps3 max settings, huko kwenye PC max settings bajeti iwe vizuri.400k mpaka 500k bila kutumia dedicated graphics, hii ni kutumia intel hd 530 am 630 zilizopo kwenye 6th/7th gen ya processor za intel. ila uhakika zaidi ni 600k mpaka 700k kwa kuongezea Nvidia 1030 hapo. ukiongeza budget kuna vr games siku hizi pia, sema gpu itabidi upande kidogo angalau 1650 na utahitaji miwani ya mixed reality.
Ps3 ni 480p na games mpya hazitoki nyingi ila ni budget option nzuri.Dah...hapa naona ni heri kuchezesha tu ps3 max settings, huko kwenye PC max settings bajeti iwe vizuri