Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pad za pc ni elf 8 tu na ni ngumu kinyama.Shukran kwa mchanganuo murua.
Kwann zisitumike tv mpya? Nn changamoto yake?
Hakuna biashara ambayo haina ushindani shehe. Kama ww hupati 40k haimanishi anayetaka kuanza ataikosa.Shida watu wa humu hua hamtaki kusikia nje ya mnachokiamini ukisikia kitu tofauti unakimbilia kuandika kashfa utafikiri ndiyo zitaonyesha unachokisema ni sahihi.
Nimesema hesabu hazina uhalisia. Sijasema ni uongo. Hii ni kwakua kuna factors nyingi zinazosababisha makadirio yako yafikiwe au yasifikiwe. Location, ushindani n.k.
And yes naifanya hiyo biashara. Nilianza na PS2 moja now nipo kwenye PS3 & 4, 2 zinajaza watoto nimeachana nazo. Nimeuza sana used PS2 consoles humu, nimeuza sana games za PS2 kisha wewe unakuja unaleta maneno ya jikoni eti shemeji.
Unaposema ya kuharibu pad unamaanisha nn?Pad za pc ni elf 8 tu na ni ngumu kinyama.
Magame ya kuharibu pad ndo kiboko yakeView attachment 1756751
Amani chief. Long liveHakuna biashara ambayo haina ushindani shehe. Kama ww hupati 40k haimanishi anayetaka kuanza ataikosa.
Nachukia watu wanaokatisha tamaa wengine kisa yeye kimemshinda. Kwa taarifa yako tu kupitia biashara hii hii watu tumejenga na tunasomesha.
Nafikiri hiyo ni vizuri zaidi ...kupunguza gharama zisizo na ulazima sana kwenye biashara yoyote.A.c ni kipengele achana nayo.
Umeme unaotakiwa kutumia uwe chini ya unit 5.7 yaan umeme wa elfu 2. Hapo faida utaiona. Pia kama ps haitumiki muda huo izime ili ipoe na pia kupunguza matumizi ya umeme yasiyokuwa na lazima.
Very goodFaida ya kuwa na gaming pc. Magame kibao unawekaView attachment 1756750
Karibu mkuuAmani chief. Long live
Magame kama mortal kombat au god of war yana mzuka sana inapelekea mtu kubonyeza zile key mara nyingi na kwa nguvu akihisi ndo inakuwa labda inapga sana.Unaposema ya kuharibu pad unamaanisha nn?
TV utatumia ya chogo au?Ujategemea ila m1 inatosha kwa kila kitu.
Labda atanunua ya laki 650 ambayo ni fat au ps4 used biashara......hii biashara nataka ifanya kwa mil 1.6 ngoja nione.TV utatumia ya chogo au?
1.6 mil pekee? Tv 1 na ps4 1?Labda atanunua ya laki 650 ambayo ni fat au ps4 used biashara......hii biashara nataka ifanya kwa mil 1.6 ngoja nione.
Ume changanua vzr sana kiongozi ubarikiwe,kuliko kununua bodaboda kwa 2.2 milion na hawa madereva wenye viduku wana sumbua sana,ngoja nimm nifanyie research ya eneo,na kingine umesema Tv used kule mbweni ndio mpango mzima,naje hz Pc's used niwapi napata kwa urahisi hapa Dsm sa'bu kuna mtu alinambia Zanzibar ndio cheap zaidiSikia.
*Ps4 chukua moja ni 650k. Chukua iliyochipiwa ndo inafaa kwa biashara.
*ps3 chukua 2 kwa 320k kwa kila moja.
*ps2 chukua 2 kwa 130k kwa kila moja.
* tv chukua 2 za inch 32 kwajili ya ps3 na moja ya inch 42 kwaajili ya ps4. Nenda kwa wapemba mbweni utapata inch 32 kwa 300k na inch 42 kwa 450k za mtumba. Za mtumba zitadumu muda mrefu sana. Nasisitiza usinunue za dukani ni hasara.
*chukua inch 22 kwaajili ya ps2. Vilevile za mtumba.
* nunua gaming pc used kwa 350k. Tafuta hawa jamaa wanaitwa camara huwa wanazo. Chukua na monitor ya inch 22 au tv yenye hdmi au vga port. Hii itakusaidia kuweka games zenye kuharibu pad mf. Mortal kombat x au xl au 11. Pad za pc ni ngumu na gharama yake ni 8k pad moja k.koo.
*ps4 na ps3 weka games za mpira na mission ambazo haziharibu pad. Pc tia game za ngumi na zenye kuharibu pad.
BEI
*Ps3 na ps4 mpira ni 500 kwa dakika 10
Ps2 mpira mechi 2 500 na ni dakika 10
*games zingn za mission ni dakika 15 kwa 500 kwa ps3 na ps4 na dakika 30 kwa ps2.
LOCATION*
tafuta sehemu yenye watu wengi hasa vijana na yenye usalama. Fremu ni kati ya 50k hadi 70k. Usiogope itakulipa tu.
* dumisha usafi na kama unamweka mtu basi mlipe kwa siku elf 5 mpaka elf 7 kwa siku kutegemea na mahesabu anayokuletea.
* fanya mwenyewe kama mwezi hivi ndo umpe kijana. Na uwe muda mwingi unapiga jicho maana wakizoea huwa wana tabia ya udokozi.
* biashara ikikubali weka cctv camera ni kama 450k kila kitu. Itasaidia usalama na pia kum monitor kijana.
*VIFAA VINGINE
*stabilizor ni muhimu sana kwaajili ya kulinda vifaa vyako.
*pads ni za kuchunga hasa za ps4 maana ndo kikwazo kikubwa cha biashara hii.
*kibali toka serikali za mtaa ni 20k tu na hakuna kenge atakaye kusumbua
●muda wa kufungua ni saa 3 asubuhi hadi saa 5 usiku. Ila siku za shule hakikisha madogo hawaingii chini ya saa 7 mchana.
● kwenye ps4 jaribu kuweka hata kijisofa itaongeza hadhi.
****** FAIDA ********
* ukifikia hayo juu jiandae kula kuanzia 20k hadi 30k kwa siku za kawaida na 40k kwa siku za weekend.
KUNA WATU WANAPENDA KUONGEA VITU WASIVYO VIJUA. KAMA HUJUI KITU NI BORA KUKAA KIMYA
Mkuu sitatumia ps 4, nitatumia ps 3 2 na tv inch 32, 2.....hiyo kwa bei ya laki 3 vyote ni mil 1 laki 2.....laki 150 padi za akiba laki 150 kodi miezi 3....1.6 mil pekee? Tv 1 na ps4 1?
Waone hawa jamaa. Ni NGO kwahyo hawapo kifaida sana. Utapata laptop au desktop nzuri tu ya gaming kwa bei nzuri. Laptop utakayo chukua hakikisha atleast ni core i7 kuanzia generation ya 3 na graphics card ya invidia. Wana laptop/desktop nzuri sana ambazo karibia ya 70% ya games zina support. Bei ni kuanzia 350k hadi 600k kutegemea na specs.Ume changanua vzr sana kiongozi ubarikiwe,kuliko kununua bodaboda kwa 2.2 milion na hawa madereva wenye viduku wana sumbua sana,ngoja nimm nifanyie research ya eneo,na kingine umesema Tv used kule mbweni ndio mpango mzima,naje hz Pc's used niwapi napata kwa urahisi hapa Dsm sa'bu kuna mtu alinambia Zanzibar ndio cheap zaidi
Kwa pad kwa bei nzuri mcheki huyu jamaa.Ume changanua vzr sana kiongozi ubarikiwe,kuliko kununua bodaboda kwa 2.2 milion na hawa madereva wenye viduku wana sumbua sana,ngoja nimm nifanyie research ya eneo,na kingine umesema Tv used kule mbweni ndio mpango mzima,naje hz Pc's used niwapi napata kwa urahisi hapa Dsm sa'bu kuna mtu alinambia Zanzibar ndio cheap zaidi
Kwa ps mcheki huyu jamaa. Yupo gerezani kariakoo. Anauza na kuchip ps. Anaingiza games.Ume changanua vzr sana kiongozi ubarikiwe,kuliko kununua bodaboda kwa 2.2 milion na hawa madereva wenye viduku wana sumbua sana,ngoja nimm nifanyie research ya eneo,na kingine umesema Tv used kule mbweni ndio mpango mzima,naje hz Pc's used niwapi napata kwa urahisi hapa Dsm sa'bu kuna mtu alinambia Zanzibar ndio cheap zaidi
Karibu mkuuHuu uzi umekuwa na msaada mkubwa.