Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Tumambo twingi tu, wewe hujambo kivurugeKapeace umepotea sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumambo twingi tu, wewe hujambo kivurugeKapeace umepotea sana
kaka kwema? upo shinyanga?Huyu jamaa anatuona maponkino kabisa, yani hata utikise vipi gunia halifikishi kilo 70
Asante sanaNapenda kuwasanua vijana na madini haya
Mikoa ya shinyanga na wilaya zake pamoja na tabora na wilaya zake baadhi pia umeanza uvunaji wa mpunga tokea mwezi wa4 mwanzoni mpak kuendlea!!
Manunuzi ya gunia Moja la mpunga lazidi kushuka sasahv ni 45,000/= 50,000/= na Kuna ule supa mabeyenge una 60,000/=+
Kwa kahama vijijijini humu kipimo ni kutikisa mfuko unapata kg70+ ya mchele
Japo bei zinaporomoka huku tulipo ila huko ulipo hope sio 1,200/= kama huku!
Kukoboa gunia Moja ni 4,000/=
Kusafirisha 2,000/=
Vibega 500/=
Kama unataka ku grade mchele wako huku gharama yake ni tshs 15 per kg( hapo Kuna hela ya walishaji watakaopaka mafuta kama utahitaji wataopakia kwenye mifuko watakaoshona na watakaopakiakwenye gari)
Usafiri wa mchele kutoka huku ni mrahisi sana ila be patient sometimes it gonna be late for days but not weeks
Kuna madalali wanakutaftia gari mpk sehemu unaenda na nauli unalipia muda umepokea mzigo!!
Simple maths umenunua kwa 50,000 ikatoa kg 70 umenunua kwa 714/kg ukiweka gharama zote ufanye zimefika 10,000 pmja na ushuru nauli vibega inakuwa 857/kg hapo Bado mzigo haujakufikia ulipo!!
Anza kupiga mahesabu ya usafiri mpka ulipo!! Kama itakulipa njoo fanya biashara au nunua mzigo uuze!!
Tunafanya biashara singida manyara arusha Dodoma Kilimanjaro na Tanga!!
Sijambo Mchuchu just missing youTumambo twingi tu, wewe hujambo kivuruge
Asante kunimiss hamna mada chokozi tukavurugane?Sijambo Mchuchu just missing you
Ngoja nitakuita Mchuchu tuvurugane mpaka ulowane yaan uwe wet kabisaAsante kunimiss hamna mada chokozi tukavurugane?
Aisee!Ngoja nitakuita Mchuchu tuvurugane mpaka ulowane yaan uwe wet kabisa
Kwema ndugu, Nipo Geita.kaka kwema? upo shinyanga?
😅😅Ngoja nitakuita Mchuchu tuvurugane mpaka ulowane yaan uwe wet kabisa
nimeku pm kaka. fanya kunijibuKwema ndugu, Nipo Geita.
Private yangu haifunguki ni zaidi mwaka sasa.nimeku pm kaka. fanya kunijibu
Unatumia Tecno?Private yangu haifunguki ni zaidi mwaka sasa.
Bila shaka.Unatumia Tecno?
unatumia google chrome?Private yangu haifunguki ni zaidi mwaka sasa.
Unakaa vizuri coz bei ni rafiki sahvNilikua nina mpango wa kununua mpunga niwek kwnye gala nisubili bei za mwez wa 12 mpango wangu unawez kukaa vzr
Changamoto zake zikojeUnakaa vizuri coz bei ni rafiki sahv
Mpunga dakawa wa kweny maplot (mashamba ya serikal) bad awajaanz kuvuna ila ya nje tyr ila mm bro nasubiliaKma kuna mtu ana detail za dakawa morogoro kuhusu mpunga na bei zake anisaidie tafafhali
PanyaChangamoto zake zikoje