Biashara ya mpunga na mchele

Biashara ya mpunga na mchele

Kahama hupati kwa 50000 labda 66000,Kuna mtu anafanya. Ununuzi ni wengi Sanaa.
 
Napenda kuwasanua vijana na madini haya
Mikoa ya shinyanga na wilaya zake pamoja na tabora na wilaya zake baadhi pia umeanza uvunaji wa mpunga tokea mwezi wa4 mwanzoni mpak kuendlea!!
Manunuzi ya gunia Moja la mpunga lazidi kushuka sasahv ni 45,000/= 50,000/= na Kuna ule supa mabeyenge una 60,000/=+
Kwa kahama vijijijini humu kipimo ni kutikisa mfuko unapata kg70+ ya mchele
Japo bei zinaporomoka huku tulipo ila huko ulipo hope sio 1,200/= kama huku!
Kukoboa gunia Moja ni 4,000/=
Kusafirisha 2,000/=
Vibega 500/=
Kama unataka ku grade mchele wako huku gharama yake ni tshs 15 per kg( hapo Kuna hela ya walishaji watakaopaka mafuta kama utahitaji wataopakia kwenye mifuko watakaoshona na watakaopakiakwenye gari)
Usafiri wa mchele kutoka huku ni mrahisi sana ila be patient sometimes it gonna be late for days but not weeks
Kuna madalali wanakutaftia gari mpk sehemu unaenda na nauli unalipia muda umepokea mzigo!!


Simple maths umenunua kwa 50,000 ikatoa kg 70 umenunua kwa 714/kg ukiweka gharama zote ufanye zimefika 10,000 pmja na ushuru nauli vibega inakuwa 857/kg hapo Bado mzigo haujakufikia ulipo!!

Anza kupiga mahesabu ya usafiri mpka ulipo!! Kama itakulipa njoo fanya biashara au nunua mzigo uuze!!


Tunafanya biashara singida manyara arusha Dodoma Kilimanjaro na Tanga!!
Wadanganye waingie kichwakichwa wauziwe pimamaji au mapepe halafu junia kutoa 70 hiko kipimo sio rasimi usiwakurupushe zen mchele wa shinyanga,mwanza,geita hauna soko MCHELE PENDWA NI MBEYA NA MOROGORO TU SO JIPANGE VIZURI
 
Wadanganye waingie kichwakichwa wauziwe pimamaji au mapepe halafu junia kutoa 70 hiko kipimo sio rasimi usiwakurupushe zen mchele wa shinyanga,mwanza,geita hauna soko MCHELE PENDWA NI MBEYA NA MOROGORO TU SO JIPANGE VIZURI
Ujuaji mwingi,unataka kuaminisha hauuzwi nje.mtu hujawahi hata fika Eneo husika au kufatilia biashara husika una mcrash Bongo bana.Kahama malori Kila sekunde yanabeba Michele we unasema Nini.

Uganda,Kenya via silali ndo Michele wauchukuao. Arusha Michele ni Kahama,magugu na Mbeya..
 
Napenda kuwasanua vijana na madini haya
Mikoa ya shinyanga na wilaya zake pamoja na tabora na wilaya zake baadhi pia umeanza uvunaji wa mpunga tokea mwezi wa4 mwanzoni mpak kuendlea!!
Manunuzi ya gunia Moja la mpunga lazidi kushuka sasahv ni 45,000/= 50,000/= na Kuna ule supa mabeyenge una 60,000/=+
Kwa kahama vijijijini humu kipimo ni kutikisa mfuko unapata kg70+ ya mchele
Japo bei zinaporomoka huku tulipo ila huko ulipo hope sio 1,200/= kama huku!
Kukoboa gunia Moja ni 4,000/=
Kusafirisha 2,000/=
Vibega 500/=
Kama unataka ku grade mchele wako huku gharama yake ni tshs 15 per kg( hapo Kuna hela ya walishaji watakaopaka mafuta kama utahitaji wataopakia kwenye mifuko watakaoshona na watakaopakiakwenye gari)
Usafiri wa mchele kutoka huku ni mrahisi sana ila be patient sometimes it gonna be late for days but not weeks
Kuna madalali wanakutaftia gari mpk sehemu unaenda na nauli unalipia muda umepokea mzigo!!


Simple maths umenunua kwa 50,000 ikatoa kg 70 umenunua kwa 714/kg ukiweka gharama zote ufanye zimefika 10,000 pmja na ushuru nauli vibega inakuwa 857/kg hapo Bado mzigo haujakufikia ulipo!!

Anza kupiga mahesabu ya usafiri mpka ulipo!! Kama itakulipa njoo fanya biashara au nunua mzigo uuze!!


Tunafanya biashara singida manyara arusha Dodoma Kilimanjaro na Tanga!!
Binasfsi. Simshauri mtu kufanya biashara ya kununua mpunga kama si mkulima
Bora uwe dalali wa mchele au kununu mchele toka kwa wakulima na kuchuuza kwa wanunuzi

Biashara ya mpunga ina Risk kubwa na return yake sio ya uhakika
 
Wadanganye waingie kichwakichwa wauziwe pimamaji au mapepe halafu junia kutoa 70 hiko kipimo sio rasimi usiwakurupushe zen mchele wa shinyanga,mwanza,geita hauna soko MCHELE PENDWA NI MBEYA NA MOROGORO TU SO JIPANGE VIZURI
Katika kilimo cha mpunga kwa sasa Tanzania sio Mbeya na Morogoro tu, mpunga unalimwa karibu kila kanda kuanzia kanda ya ziwa, kaskazini hadi kusini(ruvuma, lindi, mtwara)

Kwa sasa Super Kahama ndio mbegu inayotoa mchele bora (super) kuliko mbegu zote mlozoea Morogoro au Mbeya (Mbawambili, Karamata, Mwendambio, Fayadume, Zambia, Kyela) zote hizo hazina mchele ulionyooka kama hiyo super shinyaga

Kutokana na kilimo cha biashara Mbeya na Morogoro wakulima wanachagua mbegu za kisasa kama Hybrid za miezi 3 na hizi SAL01,02 na 05 kwa ajili ya kipato kikubwa

Wachache wanaolimba mbegu za kienyeji hazitoi mchele super sababu ya mambolea, madawa na kuchoka kwa ardhi katika mikoa hiyo

Ukizunguka masoko ya mchele yote kuanzia Mbezi, Riveside, Manzese na Mbagala huwezi kupata Super ya Mbeya kwa sasa ambayo ina hadhi ya basmati Ata ikiwa grade ya mashine basi rangi hakuna na kama rangi ipo basi harufu hakuna
 
Katika kilimo cha mpunga kwa sasa Tanzania sio Mbeya na Morogoro tu, mpunga unalimwa karibu kila kanda kuanzia kanda ya ziwa, kaskazini hadi kusini(ruvuma, lindi, mtwara)

Kwa sasa Super Kahama ndio mbegu inayotoa mchele bora (super) kuliko mbegu zote mlozoea Morogoro au Mbeya (Mbawambili, Karamata, Mwendambio, Fayadume, Zambia, Kyela) zote hizo hazina mchele ulionyooka kama hiyo super shinyaga

Kutokana na kilimo cha biashara Mbeya na Morogoro wakulima wanachagua mbegu za kisasa kama Hybrid za miezi 3 na hizi SAL01,02 na 05 kwa ajili ya kipato kikubwa

Wachache wanaolimba mbegu za kienyeji hazitoi mchele super sababu ya mambolea, madawa na kuchoka kwa ardhi katika mikoa hiyo



Kama ushauri wako ungekuwa ni wakweli basi hawa wahindi wa kapungu au huyu wa korie morogoro wangeshafunga virago na kurudi kwao maana ndio biashara inayowaweka bongo
Hao wana mitaji mikubwa kaka na wanawalangua wakulima
 
Back
Top Bottom