Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuata ushauri huu, weka na firigisitengeneza jiko la kisasa weka nje ya bar choma kuku,kiepe,mshikaki weka na supu ya kongoro
Rekebisha hapo nilipo bold Halafu twendeleeEti Wakuu wapi ni bora kati ya Dar au Mikoani kuanza na biashara yenye mtaji mdogo mfano 2M
Mtaji kuwa mdogo unategemena na biashara inayoenda kufanyika. Mfano biashara za frem iyo inaishia kwenye pango na isitoshe.Uo mtaji mdg ???
Dar maeneo ya pembezoniEti Wakuu wapi ni bora kati ya Dar au Mikoani kuanza na biashara yenye mtaji mdogo mfano 2M
Ukichoka nenda ukalaleWewe mshkaji unachosha sana
Mshamba sana wewe huku sio FacebookUkichoka nenda ukalale
Kwa mtaji wa 2M nadhani unachopaswa kuangalia ni aina gani ya biashara na sio eneo la biashara. Huku mkoani huo mtaji humalizi eka 1 ya kitunguu while kuna mtu hapo juu ameshauri upike kuku na soup kitu ambacho ni kizuri pia. Au kwa mtaji huo pia unaweza fungua office ukawa unafanya miamala n.k
Usiangalie location jua kwan,a ni biashara gani utafanya ndio ujue itafaa mkoani au DSM
Mfano biashara ya Phone accessories...Au ya Vipodozi vya wanawakeMtaji kuwa mdogo unategemena na biashara inayoenda kufanyika. Mfano biashara za frem iyo inaishia kwenye pango na isitoshe.
Ukitoka biashara ya vyakula ...Ni sehemu ipi nzuri nje ya Dar kwa huo mtaji wa 2M unaweza Anza biashara ya Phone accessories, au Vipodozi vya wanawake, au miamala ya fedha nje ya JIJI la Dar?Eti Wakuu wapi ni bora kati ya Dar au Mikoani kuanza na biashara yenye mtaji mdogo mfano 2M
Mkuu napingana na wewe unaposema asijali location,Yani niseme Kwa herufi kubwa BIASHARA NI LOCATION SAHIHI SIO UKUBWA WA MTAJI(LOCATION NDIO BIASHARA)Unaweza kuwa na mtaji mkubwa na Bidhaa nzuri lakini usiuze kulingana na location uliyopo,kifupi location yenye mzunguko wa wateja wa kutosha ndio itakayokufanya kukua kibiashara.naongea Kwa experience.Kwa mtaji wa 2M nadhani unachopaswa kuangalia ni aina gani ya biashara na sio eneo la biashara. Huku mkoani huo mtaji humalizi eka 1 ya kitunguu while kuna mtu hapo juu ameshauri upike kuku na soup kitu ambacho ni kizuri pia. Au kwa mtaji huo pia unaweza fungua office ukawa unafanya miamala n.k
Usiangalie location jua kwan,a ni biashara gani utafanya ndio ujue itafaa mkoani au DSM